FT: Ruvu Shooting 0-0 Young Africans | NBC Premier League | Lake Tanganyika Kigoma

Leo Yanga wamezingua kinoma wamecheza chini ya kiwango sana.
Ndiyo mpira ulivyo. Ruvu Shooting nao wanapenda kubaki ligi kuu. Hivyo hawakuwa na namna, isipokuwa kupambana mwanzo mwisho.

Hata kuipeleka timu Kigoma, ililenga kuwatoa Yanga mchezoni! Kutokana na aina yenyewe ya uwanja, na pia alifungwa na simba kwenye nusu fainali ya Kombe la Shirikisho.
 
Halafu simba wanahangaika kwenda Real Madrid kutafuta makocha wa gharama kubwa! Huku wakiwaacha Makocha Wazalendo kama hawa!

Cheki alivyo uchambua mchezo kitaalamu! Pablo mwenyewe hatii mguu hapa.
 
Hamjakamiwa bhana, ndio uwezo wenu huo.
Scars
Ghazwat
OKW BOBAN SUNZU
Mpira umenajisiwa

Kabla ya mpira watu wanakuja na matokeo yao mifukoni

Timu pinzani inacheza kukamlilisha ratiba tu kinachofuata hapo ni maamuzi yaliyoamuliwa na wakubwa

Na hii ni kama intro tu kwani wange authorize kile kimkataba cha udhamini ndio ingekuwa worst kabisa
 
Sure! We will be back stronger than ever
 
Sure! Kwasasa tungekuwa tumeshachukua ligi mapema kabisa
 
Mkuu kwani kipi ambacho kilikuwa kinakuweka katika kitendawili mpaka ukawa na mawazo mawili ya kufikiria Uto ni wakawaida au sio?

Zile kelele za Mayele ndio zilikumeza ukawa unaifikiria Yanga kwa ukubwa kiasi cha kuiona sio ya kawaida?

Wakati we unashikilia kauli mbiu ya play fair mwenzako anaitafsiri kuwa pay fair
 
Kabla ya mechi hii Yanga alikuwa amemzidi simba kwa points 13! (Yanga 55) na simba ana 42! Huku wakiwa wana michezo sawa.

Baada ya mechi hii Yanga atamzidi simba kwa points 14 (56), simba points 42! na pia Yanga atamzidi simba mchezo 1.
Hizo 42 za Simba zilikua kabla ya mechi ya Jana. Mpaka Sasa tofauti ni point 13, Yanga 56-Simba 43.
 
Mayele kakosa magoli manne mbili zimegonga post mbili kipa kadaka ulitaka Kaze afanyeje, huu ni mpira saa zingine msiwe mna laumu hata opponents wanataka ushindi pia
 
Wewe mdogo wake popoma tusha kuzoea
 
Unaitfta furaha kwa nguvu , subiri ucheze na pamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…