Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,245
- 4,966
Huyu Kaze Mfano Ingekuwa Nabi Kapata Matatizo Ya Kiafya Hatoweza Kuendelea Mpaka Mwisho Wa Ligi Wallah Kuna Game Tunafungwa Kabisaa..Afadhali arudi sababu huyu Kaze hana jipya. [emoji853]