FT: Siku ya Wananchi | Uwanja wa Benjamin Mkapa, Julai 22, 2023 I Yanga 1 - 0 Keizar Chiefs

FT: Siku ya Wananchi | Uwanja wa Benjamin Mkapa, Julai 22, 2023 I Yanga 1 - 0 Keizar Chiefs

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Screenshot_20230722_145211_Gallery.jpg

Screenshot_20230722_145144_Gallery.jpg

Uwanja bado ni mweupe ndugu msikilizaji. Tuendelee kusubiri, tuwe na subira

Hapa hapa JF, itakuijia mechi ya kirafiki kati ya Yanga na Kaizer Chiefs mishale ya saa moja usiku.

Hakuna kukimbia

1690041654874.png


1690041727295.png
 
Haya wananchi toeni 10,000 mkamuone kinda Skudu (33) kwa miaka 11 kacheza jumla ya dakika 4422 kwa kipindi chake chote, sawa na mechi 50.

Uzuri wa tamasha hili Skudu ni multitalent ana waofa wananchi kitu kingine cha ziada.

Yani ukisema hutaki kwenda uwanjani kwasababu hujaridhishwa na kiwango chake the guy is superb dancer you can enjoy his moves too.

So huna sababu ya kutoenda uwanjani.
 
View attachment 2696074
View attachment 2696075
Uwanja bado ni mweupe ndugu msikilizaji. Tuendelee kusubiri, tuwe na subira

Hapa hapa JF, itakuijia mechi ya kirafiki kati ya Yanga na Kaizer Chiefs mishale ya saa moja usiku.

Hakuna kukimbia
Mbona unateseka sana, Azzam sports 1 HD wapo live halafu wewe una post haya mauharo yako una shida gani kichwani?

Thread ya takwimu za Kibu Denis vs Mayele imekuvuwa nguo bado hujakoma tu?

Sidhani kama sasa hivi tupo kwenye utani wa jadi tena bali ni uchawi tu, halafu mlisharoga mvua yenu ya kishirikina inyeshe mmedhibitiwa.
 
Back
Top Bottom