FT: Siku ya Wananchi | Uwanja wa Benjamin Mkapa, Julai 22, 2023 I Yanga 1 - 0 Keizar Chiefs

FT: Siku ya Wananchi | Uwanja wa Benjamin Mkapa, Julai 22, 2023 I Yanga 1 - 0 Keizar Chiefs

Mbona unateseka sana, Azzam sports 1 HD wapo live halafu wewe una post haya mauharo yako una shida gani kichwani?

Thread ya takwimu za Kibu Denis vs Mayele imekuvuwa nguo bado hujakoma tu?

Sidhani kama sasa hivi tupo kwenye utani wa jadi tena bali ni uchawi tu, halafu mlisharoga mvua yenu ya kishirikina inyeshe mmedhibitiwa.
Sasa mkuu uongo uko wapi hapo, mbona tunajionea wenyewe uwanja mweupe ?
 
Mbona unateseka sana, Azzam sports 1 HD wapo live halafu wewe una post haya mauharo yako una shida gani kichwani?

Thread ya takwimu za Kibu Denis vs Mayele imekuvuwa nguo bado hujakoma tu?

Sidhani kama sasa hivi tupo kwenye utani wa jadi tena bali ni uchawi tu, halafu mlisharoga mvua yenu ya kishirikina inyeshe mmedhibitiwa.
Punguza hasira, utadata. Leo usiku sijui hata kama utalowa kwa makasiriko haya. Hili jukwaa sio la baba yako
 
Wewe ndo zwazwa kabisa, nipo uwanjani muda huu fala ww
Labda uwanja wa bunju lofa kabisa Wewe, wachawi wakubwa.

Angaikeni na yenu.
 

Attachments

  • FB_IMG_1689464949499.jpg
    FB_IMG_1689464949499.jpg
    32.8 KB · Views: 3
Ndio maana siwezi kumpangia mtu cha kuandika, kwa mujibu wa kanuni. Sasa wewe unataka kutuletea ufaza. Relax bro,utachizi ukileta ligi na sisi
Siwezi kufanya ligi na mazombie.

Ndio maana zamani wazee ilikuwa pakiwa na sherehe walikuwa wanazindika, sasa ndio nimeelewa maana kumbe wachawi siku hizi mpaka vijana wadogo.
 
Yani kweli uchawi ni kipaji, yani sherehe ya Yanga lakini wanateseka Simba.

Halafu aliwadanganya nani walevi wa pombe wanaingia uwanjani saa hizi? Piteni hapo kwa Chichi na vipub vyote vya nje ya uwanja wa Taifa ni Nyomi watu wanakula kamnyeso na nyama choma.

Target ya wengi ni kuingia uwanjani muda wa kutambulisha wachezaji na kuangalia mechi na ratiba inajurikana.
 
Back
Top Bottom