Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mkuu uongo uko wapi hapo, mbona tunajionea wenyewe uwanja mweupe ?Mbona unateseka sana, Azzam sports 1 HD wapo live halafu wewe una post haya mauharo yako una shida gani kichwani?
Thread ya takwimu za Kibu Denis vs Mayele imekuvuwa nguo bado hujakoma tu?
Sidhani kama sasa hivi tupo kwenye utani wa jadi tena bali ni uchawi tu, halafu mlisharoga mvua yenu ya kishirikina inyeshe mmedhibitiwa.
Mbona event iko live Azam sports 1 HD?Ngoja tuone...
Huna akili, kama haupo uwanjani angalia Azzam wapo live.Sasa mkuu uongo uko wapi hapo, mbona tunajionea wenyewe uwanja mweupe ?
Punguza hasira, utadata. Leo usiku sijui hata kama utalowa kwa makasiriko haya. Hili jukwaa sio la baba yakoMbona unateseka sana, Azzam sports 1 HD wapo live halafu wewe una post haya mauharo yako una shida gani kichwani?
Thread ya takwimu za Kibu Denis vs Mayele imekuvuwa nguo bado hujakoma tu?
Sidhani kama sasa hivi tupo kwenye utani wa jadi tena bali ni uchawi tu, halafu mlisharoga mvua yenu ya kishirikina inyeshe mmedhibitiwa.
Kwa hiyo tufanyaje? Tukusaidie niniMbona event iko live Azam sports 1 HD?
Lofa tu wewe.Kwa hiyo tufanyaje? Tukusaidie nini
Wewe ndo zwazwa kabisa, nipo uwanjani muda huu fala wwHuna akili, kama haupo uwanjani angalia Azzam wapo live.
Wala siyo la mamako.Punguza hasira, utadata. Leo sijui hata kama utalowa kwa makasiriko haya. Hili jukwaa sio la baba yako
Labda uwanja wa bunju lofa kabisa Wewe, wachawi wakubwa.Wewe ndo zwazwa kabisa, nipo uwanjani muda huu fala ww
Ndio maana siwezi kumpangia mtu cha kuandika, kwa mujibu wa kanuni. Sasa wewe unataka kutuletea ufaza. Relax bro,utachizi ukileta ligi na sisiWala siyo la mamako.
Kitulize sasa kama umekosa factLabda uwanja wa bunju lofa kabisa Wewe, wachawi wakubwa.
Angaikeni na yenu.
Siwezi kufanya ligi na mazombie.Ndio maana siwezi kumpangia mtu cha kuandika, kwa mujibu wa kanuni. Sasa wewe unataka kutuletea ufaza. Relax bro,utachizi ukileta ligi na sisi
Una hangaika sana, tuletee picha za uwanjani muda huuSiwezi kufanya ligi na mazombie.
Ndio maana zamani wazee ilikuwa pakiwa na sherehe walikuwa wanazindika, sasa ndio nimeelewa maana kumbe wachawi siku hizi mpaka vijana wadogo.
Zilete bnaaUna hangaika sana, tuletee picha za uwanjani muda huu
Hizo hapo juuZilete bnaa
HahaaaaaLofa tu wewe.
Naomba nisihusishwe na mdororo unaoendelea