Mbassa jr
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 1,234
- 3,213
Nmeshangaa... mtu wa simba kuanzisha uzi wa Shughuli yetu na kuuita update!!Uzuri unaumia moyoni huku unafuatilia Tamasha, safi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmeshangaa... mtu wa simba kuanzisha uzi wa Shughuli yetu na kuuita update!!Uzuri unaumia moyoni huku unafuatilia Tamasha, safi sana.
Basi sawandioo
View attachment 2696074
View attachment 2696075
Uwanja bado ni mweupe ndugu msikilizaji. Tuendelee kusubiri, tuwe na subira
Hapa hapa JF, itakuijia mechi ya kirafiki kati ya Yanga na Kaizer Chiefs mishale ya saa moja usiku.
Hakuna kukimbia
Vituko vya JF, sherehe ya Yanga thread inaanzishwa na mbumbumbu wa Simba.Ebwana ehee Muda bado unaruhusu ,ni Raha tu raha tu.
Waache wamuone kwa sapraizi wapatwe na stress, waanze kujiharishia kumbe bado yupo Yanga.Kuna watu wataumbuka leo. Ni suala tu la muda. Ile historia ya nani mkali kati ya Mayele na Kibudenga, huenda ikajirudia tena leo.
Muda ushaisha wa kujaza uwanja! It's over!Kuna watu wataumbuka leo. Ni suala tu la muda. Ile historia ya nani mkali kati ya Mayele na Kibudenga, huenda ikajirudia tena leo.
Vituko vya JF, sherehe ya Yanga thread inaanzishwa na mbumbumbu wa Simba.
Wenye shughuri yetu wala hauna pressure kila kitu kina kwenda kama kinavyotakiwa kuwa.
Ila uchawi is real, hawa wenzetu wameshavuka level za ushabiki ni wachawi kamili.
Huyo nabii kufuata sadaka tu 😂Nawatabiria msimu mzito sana 2023/24View attachment 2696078
Msalimie sana mhandisiHata nje pia watu sio nyomi.View attachment 2696166
Hii ndio starehe yangu mkuu. Situmii pombe na mademu nataka niacheBwana boban huchokagi?