FT: Siku ya Wananchi | Uwanja wa Benjamin Mkapa, Julai 22, 2023 I Yanga 1 - 0 Keizar Chiefs

FT: Siku ya Wananchi | Uwanja wa Benjamin Mkapa, Julai 22, 2023 I Yanga 1 - 0 Keizar Chiefs

Wananchi hongereni
 
Hata nje pia watu sio nyomi.View attachment 2696166
Endeleeni kuteseka tu, na hicho kiingilio kimewekwa makusudi takataka kama wewe msije kutuharibia shughuri yetu.

Makolo wastaarabu na wanaojitambuwa wamekuja kwenye tamasha kuangalia show.
 

Attachments

  • FB_IMG_1690032449931.jpg
    FB_IMG_1690032449931.jpg
    66.3 KB · Views: 2
Endeleeni kuteseka tu, na hicho kiingilio kimewekwa makusudi takataka kama wewe msije kutuharibia shughuri yetu.

Makolo wastaarabu na wanaojitambuwa wamekuja kwenye tamasha kuangalia show.
Acha uzuzu ww hujui kama shughuli ni watu ??? Sasa wakiingia watu kidogo huoni kama yanga itakuwa imepata fedheha bara na Zanzibar.
 
Endeleeni kuteseka tu, na hicho kiingilio kimewekwa makusudi takataka kama wewe msije kutuharibia shughuri yetu.

Makolo wastaarabu na wanaojitambuwa wamekuja kwenye tamasha kuangalia show.
Ila jezi ya Simba kali sana [emoji881][emoji881]
 
Naona amenisikia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom