Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endeleeni kuteseka tu, na hicho kiingilio kimewekwa makusudi takataka kama wewe msije kutuharibia shughuri yetu.Hata nje pia watu sio nyomi.View attachment 2696166
Acha uzuzu ww hujui kama shughuli ni watu ??? Sasa wakiingia watu kidogo huoni kama yanga itakuwa imepata fedheha bara na Zanzibar.Endeleeni kuteseka tu, na hicho kiingilio kimewekwa makusudi takataka kama wewe msije kutuharibia shughuri yetu.
Makolo wastaarabu na wanaojitambuwa wamekuja kwenye tamasha kuangalia show.
Ila jezi ya Simba kali sana [emoji881][emoji881]Endeleeni kuteseka tu, na hicho kiingilio kimewekwa makusudi takataka kama wewe msije kutuharibia shughuri yetu.
Makolo wastaarabu na wanaojitambuwa wamekuja kwenye tamasha kuangalia show.
Marehemu Ruge alishasema ogopa Mungu na teknolojia, huyo arudi tena hapa, hakuna Mla vinyeo hapa.Umemkata kidomo domo, kapotea fyuuuuuuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Aiseeeeeeehapa ni wapi ? [emoji23][emoji23]
Mimi nimeshamalizana na wewe, subiri Zawadi very soon.
Naomba nisihusishwe na mdororo unaoendelea
Nyieee wana-edit hukuu [emoji23][emoji23]View attachment 2696183View attachment 2696184
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umehamia kwa moderators ??
Jahazi Imezama Hakuna KituView attachment 2696074
View attachment 2696075
Uwanja bado ni mweupe ndugu msikilizaji. Tuendelee kusubiri, tuwe na subira
Hapa hapa JF, itakuijia mechi ya kirafiki kati ya Yanga na Kaizer Chiefs mishale ya saa moja usiku.
Hakuna kukimbia
Wanaweka Giza ..haahaaaaView attachment 2696191
Janja ya Admin kuziba jukwaa kwenye picha tumeigundua