FT: Siku ya Wananchi | Uwanja wa Benjamin Mkapa, Julai 22, 2023 I Yanga 1 - 0 Keizar Chiefs

FT: Siku ya Wananchi | Uwanja wa Benjamin Mkapa, Julai 22, 2023 I Yanga 1 - 0 Keizar Chiefs

Yani kweli uchawi ni kipaji, yani sherehe ya Yanga lakini wanateseka Simba.

Halafu aliwadanganya nani walevi wa pombe wanaingia uwanjani saa hizi? Piteni hapo kwa Chichi na vipub vyote vya nje ya uwanja wa Taifa ni Nyomi watu wanakula kamnyeso na nyama choma.

Target ya wengi ni kuingia uwanjani muda wa kutambulisha wachezaji na kuangalia mechi na ratiba inajurikana.
Show ya Chino inatuumbua maana kashuka chini ya steji hivyo camera inatupa wide, uwanja mweupeeeeee [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi wasanii wa bongo ni kwamba hawajui kuperfom kwenye Viwanja Vya Mpira au ni Setup mbaya?
 
Endelea kuukatia mauno tu, wewe si ulisema upo uwanjani?

Tulia kwenye Runinga yako angalia show, game ni saa moja usiku pimbi wewe.
Na kuhonga mkahonga camera man asichukue uwanja mzima mkaja kuumbuka padogo sana [emoji16]
 
ngoja tuangalie mda wa mechi maan hapa nimepishan na costa mbili zinaelekea uwanjan
Watu wa mpira hawana muda ni hizi show za Bongo fleva, watu waliopo nje kwenye pub za kwa chichi na zilizopo nje ya uwanja ni Mtiti, wao wanachotaka kuona ni utambulisho na special game na Kaizer chief.

Hao waliojaa saa hizi wengine ndio outing zao hizo na siyo walevi wa pombe, watu wa tungi huwapati hapo saaa hizi hata kwa bakora wapo nje ya uwanja.
 
Back
Top Bottom