Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoa burudaniNimejiuliza hivyo pia, huyu jamaa kaja kucheza mpira au amapiano ?
Kocha la makombe.
Kwanza Azam two hawaoneshi mechi, nenda Azam Sport1 HDWakuu amani iwe juu yenu.
Naomba kujua mechi ya leo ya wananchi inaoneshwa channel ipi tofauti na azam two?
Daah hii post inanichekesha kwa sababu aliyepost ni mkuu wa Digital wa Gongowazi sasa ni kama kujikaanga mafuta mwenyewe aijalishi ilikuwa wakati gani.
Sawa, je unateseka na nini? Hicho kiingilio kimewekwa makusudi mapunguani wasifike uwanjani, ila watu wastaarabu wataenjoy show.Mpaka sasa uwanja haujafurika
Na leo una hamu ya kuzibuliwa mtaro? taarifa zako tunazo, hii ndio JF
Camera man tafadhali sana usinyanyue camera, unawaumbua
Mambo Gan Haya sasa Mzee,wanaume hatukimbilii hizi matusi tunapamba na facts tu.
Sawa, je unateseka na nini? Hicho kiingilio kimewekwa makusudi mapunguani wasifike uwanjani, ila watu wastaarabu wataenjoy show.mapunguani
Mbwa mwenyewe ni wewe.Nawashauri waachilie fungulia mbwa
Nuache Bantu Lady we vipi utapata makofiBantu lady umepozi jukwaa lipi hapa kwa Mkapa nataka nikupe zawadi ya kofia ya wananchi
Swadakta ...Mapunguani Wala mihogo!Sawa, je unateseka na nini? Hicho kiingilio kimewekwa makusudi mapunguani wasifike uwanjani, ila watu wastaarabu wataenjoy show.
Nina uhakika Mayele yupo Dar na leo ni siku yake rasmi ya Parade la kuagwa kama deal done na Pyramids.
Tusisahau kuna sapraiz leo, na ninawahakikishia Mayele yupo Dar mpaka Jana usiku.