Trick mirik
JF-Expert Member
- May 5, 2019
- 555
- 1,290
Muda utasema mkuu ngoja tuoneKwa jinsi alivyojifunua wakati wa utambulisho. Jamaa hamna kitu kaja kwenye Vacation huku Tz na sio kucheza mpira.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda utasema mkuu ngoja tuoneKwa jinsi alivyojifunua wakati wa utambulisho. Jamaa hamna kitu kaja kwenye Vacation huku Tz na sio kucheza mpira.
Mmekunja au mmekula cha udalaliMkuu kwani ulikuwa hufatilii vyombo vya habari? Yanga washakunja 3.4B kutoka kwa Mayele.
Professionalism hamna kabsaNimejiuliza hivyo pia, huyu jamaa kaja kucheza mpira au amapiano ?
Inawezekana jamaa alikuja akiwa serious kabisa ila kashangaa anapewa spotlight ambayo hakuitegemeaProfessionalism hamna kabsa
Azam spots 1 hdWakuu amani iwe juu yenu.
Naomba kujua mechi ya leo ya wananchi inaoneshwa channel ipi tofauti na azam two??
Apewe maua yake [emoji23][emoji23]
Muda utatujibu mkuu, let's wait and seeInawezekana jamaa alikuja akiwa serious kabisa ila kashangaa anapewa spotlight ambayo hakuitegemea
Hamna kitu humo, wameshamtoa mchezoni baada ya kuipambania timu atataka afurahishe jukwaaMuda utatujibu mkuu, let's wait and see
😂😂😂Hakuna kukimbia
Millard Ayo kapiga picha kwenye yaleajukwaa ambayo mashabiki wa Yanga ndio wamejaaCamera man tafadhali sana usinyanyue camera, unawaumbua
Kwa nini mnateseka na hili?Millard Ayo kapiga picha kwenye yaleajukwaa ambayo mashabiki wa Yanga ndio wamejaa
Hakuna picha ya drone aliyopiga.
Sasa ukiangalia clip za Azam sports ndio utaona
Bado hauna watu!?View attachment 2696074
View attachment 2696075
Uwanja bado ni mweupe ndugu msikilizaji. Tuendelee kusubiri, tuwe na subira
Hapa hapa JF, itakuijia mechi ya kirafiki kati ya Yanga na Kaizer Chiefs mishale ya saa moja usiku.
Hakuna kukimbia