Punga hiloMambo Gan Haya sasa Mzee,wanaume hatukimbilii hizi matusi tunapamba na facts tu.
Washabiki wa mikia mmekuwa walozi na waganguzi wa kutabiri yajayoYanga ya msimu ujao ni vilio tu
Mmekunja au mmekula cha udalali
Saaaaana Kona nyingineDaah huu uzi wa kijani ni mkali.
Ikumbukwe baadhi ya wachezaji muhimu wa Kaizer hawapoView attachment 2696293
Ili furaha ikamilike inabidi hii mechi mshinde hivyo acha kujifarijiMbona mshaanza kutafuta visingizio? Hii ni mechi ya kirafiki tu ,matokeo si ya umuhimu ndiyo maaana hata msimu uliopita mechi ya utambulisho tulifungwa na watani wanajua kilichotokea.