United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
Muarabu lazima atapike ftari yote ya leo na wakati wa daku inabidi matumbo yao yagome kupokea chakula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kwamba zimelipiwa kwa asilimia hizo?Zingelipiwa Mzunguko.ingesoma Sold Out
Hawawezi kukuekea hapo ila Leo watu mzunguko wengi tu wameingia BureSawa ila Mbona Mzunguko.haijawa sold out
YEah yaani zimeisha zote kwa hiyo %Sio kwamba zimelipiwa kwa asilimia hizo?
Baadae usikimbie mkuuMuarabu lazima atapike ftari yote ya leo na wakati wa daku inabidi matumbo yao yagome kupokea chakula
Mambo ya CCM haya uongo uongo
oya Simba akiwa kwa mkapa kama livepoor akiwa Anifield hatokei mtu lile ni kaburi la Lucifa hutaki unataka hupendi unapenda lazima ugeuziwe kibraHii game ngumu..ngoja tuone,ila uwanja utainama..
nakimbiaje mzee hatoki mtu leo na mageti yote yashafungwa hamna mbuzi yoyote kutoka wala kuingia had muarabu achinjweBaadae usikimbie mkuu
Uwanja kujaa/kutokujaa Jambo la kawaida kama hilo linakuchekesha chekesha. Unacheeeka na kuchekeshwa chekeshwa.Uwanja mtupu mpaka sasa mashabiki wameisusa timu 😀🤣😂