MgosiMnubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2022
- 890
- 1,487
TBC wamesema wamooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni TVE au ETVHii chanel namba 295 ni channel gani? Sina kisimbuzi cha dstv
Yes.Mkuu Kwani kuna faida gani mtu anapata kwa kuwa wa Kwanza kuanzisha thread hapa? Maana naona inakuwa kama vita hivi, au mnalipwa ili na Sisi tuchangamkie hiyo fursa
#nguvumojaKila la kheri mnyama
Tunaitaka nusu fainali
#Nguvu moja
😂😁😁😁Unachekesha mkuuYes! Muda wa maneno umeisha, muda wa maandalizi umeisha. Sasa ni vitendo vya uwanjani. Lazima Ahly afe kwa heshima.ya Taifa letu.
Ova
Kwa kikosi hicho hamtoboi na ayubu atawachoma tu
Angeanza onana na Luis
Naona mnacheza bila namba tisa, so naliona basi mnaenda kulipaki.
Leo mnamo majira ya saa 3 usiku Klabu ya Tanzania Simba Sports Club itakuwa nyumbani kumenyana na klabu ya Al Ahly ya Misri katika mechi ya mkondo wa kwanza (First Leg) wa robo fainali wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Maandalizi ya timu zote mbili yameenda vyema, kinachosubiriwa ni mchezo rasmi leo 29/03/2024 saa tatu usiku.
Ungana nami katika uzi huu ili kupata matukio mbalimbali yatakayojiri kabla na wakati wa mchezo huo.
Karibu.
==============
Timu ya Simba inatarajia kucheza dhidi ya Al Ahly ya Misri katika Robo Fainali ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, leo Machi 29, 2024
Takwimu zinaonesha hakuna mbabe mpaka sasa, kila upande umeshinda mechi Tatu, hizi ni mechi zilizopita baina ya timu hizo:
24/10/2023 Al-Ahly 1-1 Simba
20/10/2023 Simba 2-2 Egypt
09/04/2021 Al-Ahly 1-0 Simba
23/02/2021 Simba 1-0 Al-Ahly
12/02/2019 Simba 1-0 Al-Ahly
02/02/2019 Al-Ahly 5-0 Simba
29/08/1985 Al-Ahly 2-0 Simba
22/08/1985 Simba 2-1 Al-Ahly
TVEHii chanel namba 295 ni channel gani? Sina kisimbuzi cha dstv
Mzunguko zimeisha mapema sana.Vp Sold Out leo hamna au ndio wanafuturu.
HAwa jamaa washajua team yetu, labda lengo la kocha ni kuwachanganya kwanza kama walikuwa wana mipangilio yoyote kabla.Angeanza onana na Luis
Saido na kibu ni wachoyo