FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

Mkuu Kwani kuna faida gani mtu anapata kwa kuwa wa Kwanza kuanzisha thread hapa? Maana naona inakuwa kama vita hivi, au mnalipwa ili na Sisi tuchangamkie hiyo fursa
Yes.
Huwa kuna commission ya matangazo kama insta tu 😅
pigania fursa!!
 
20240329_200228.jpg
 
Leo mnamo majira ya saa 3 usiku Klabu ya Tanzania Simba Sports Club itakuwa nyumbani kumenyana na klabu ya Al Ahly ya Misri katika mechi ya mkondo wa kwanza (First Leg) wa robo fainali wa Ligi ya Mabingwa Afrika.

Maandalizi ya timu zote mbili yameenda vyema, kinachosubiriwa ni mchezo rasmi leo 29/03/2024 saa tatu usiku.

Ungana nami katika uzi huu ili kupata matukio mbalimbali yatakayojiri kabla na wakati wa mchezo huo.

Karibu.


==============

Timu ya Simba inatarajia kucheza dhidi ya Al Ahly ya Misri katika Robo Fainali ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, leo Machi 29, 2024

Takwimu zinaonesha hakuna mbabe mpaka sasa, kila upande umeshinda mechi Tatu, hizi ni mechi zilizopita baina ya timu hizo:

24/10/2023 Al-Ahly 1-1 Simba

20/10/2023 Simba 2-2 Egypt

09/04/2021 Al-Ahly 1-0 Simba

23/02/2021 Simba 1-0 Al-Ahly

12/02/2019 Simba 1-0 Al-Ahly

02/02/2019 Al-Ahly 5-0 Simba

29/08/1985 Al-Ahly 2-0 Simba

22/08/1985 Simba 2-1 Al-Ahly
20240329_201022.jpg

#nguvumoja#
 
Back
Top Bottom