Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
1:3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukutane saa 5Hii hela angepewa jamaa hapo aipeleke isingefika.
Leo ahly analikamia jitu Hadi anakata shanga. Kolowizdad kafa chache 2 leo
na wewe uwe unafungua Mkuu ili usiwe na wivu kwa wenzio wanao fungua threadSiku hizi JF inalipa pesa kufunguwa thread?
😂😁Mpigwe tu leo[emoji881][emoji881][emoji881]
[emoji3590][emoji833]
[emoji120][emoji120][emoji120]
Hallah
Kichwa mduara utadhani ana kitu kichwani, kumbe hopeless
Yes! Muda wa maneno umeisha, muda wa maandalizi umeisha. Sasa ni vitendo vya uwanjani. Lazima Ahly afe kwa heshima.ya Taifa letu.Kelele na majigambo yalikuwa mengi, hatimaye umefika wakati wa mbivu na mbichi kujulikana.
Hapa nyumbani kipigo hakiwezi kuleta sifa nzuri kwa Taifa, jitahidini watani.
Mdakuzi hizi ndizo zilikuwa mechi zetu za kwenda b…
Binafsi nakubaliana sio kila mtu kisa amewahi kuanzisha basi aachwe. Kuna watu tayari ni kama wabobezi humu, hata wakianzisha unapata update vizuri lakini pia wanauwekea nyama vizuri.Mkuu Kwani kuna faida gani mtu anapata kwa kuwa wa Kwanza kuanzisha thread hapa? Maana naona inakuwa kama vita hivi, au mnalipwa ili na Sisi tuchangamkie hiyo fursa
Akili za mbumbumbu hizi, badala ya kuwazia gunia lako la misumari unahaha na mambo yasiyokuhusuNaomba Mungu Utopolo atiwe aibu kesho na Mamelodi
Hii ya goli tano zile,Napicha za leo saa tano usiku zimeshaanza kuvuja mapema tu
View attachment 2948331
Post match pictures 😀😀Napicha za leo saa tano usiku zimeshaanza kuvuja mapema tu
View attachment 2948331
Uzalendo hauwezi kushinda mechi,kama huna timu bora labda wachawi ndiyo waungane kizalendomechi ya leo uzalendo mkubwa unahitajika.
Unaanzisha uzi huna updates! Weka picha za uwanjani weweLeo mnamo majira ya saa 3 usiku Klabu ya Tanzania Simba Sports Club itakuwa nyumbani kumenyana na klabu ya Al Ahly ya Misri katika mechi ya mkondo wa kwanza (First Leg) wa robo fainali wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Maandalizi ya timu zote mbili yameenda vyema, kinachosubiriwa ni mchezo rasmi leo 29/03/2024 saa tatu usiku.
Ungana nami katika uzi huu ili kupata matukio mbalimbali yatakayojiri kabla na wakati wa mchezo huo.
Karibu.