FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

[emoji881][emoji881][emoji881]
[emoji3590][emoji833]
[emoji120][emoji120][emoji120]
Hallah
 
Kelele na majigambo yalikuwa mengi, hatimaye umefika wakati wa mbivu na mbichi kujulikana.

Hapa nyumbani kipigo hakiwezi kuleta sifa nzuri kwa Taifa, jitahidini watani.

Mdakuzi hizi ndizo zilikuwa mechi zetu za kwenda b…
Yes! Muda wa maneno umeisha, muda wa maandalizi umeisha. Sasa ni vitendo vya uwanjani. Lazima Ahly afe kwa heshima.ya Taifa letu.

Ova
 
Poleni sana watani na kilichotokea vigwaza.


Kila la heri kwenu mshinde,ila msije shinda na njaa,jikazeni basi
 
Napicha za leo saa tano usiku zimeshaanza kuvuja mapema tu
FB_IMG_1711724575740.jpg
 
Mkuu Kwani kuna faida gani mtu anapata kwa kuwa wa Kwanza kuanzisha thread hapa? Maana naona inakuwa kama vita hivi, au mnalipwa ili na Sisi tuchangamkie hiyo fursa
Binafsi nakubaliana sio kila mtu kisa amewahi kuanzisha basi aachwe. Kuna watu tayari ni kama wabobezi humu, hata wakianzisha unapata update vizuri lakini pia wanauwekea nyama vizuri.
 
Leo mnamo majira ya saa 3 usiku Klabu ya Tanzania Simba Sports Club itakuwa nyumbani kumenyana na klabu ya Al Ahly ya Misri katika mechi ya mkondo wa kwanza (First Leg) wa robo fainali wa Ligi ya Mabingwa Afrika.

Maandalizi ya timu zote mbili yameenda vyema, kinachosubiriwa ni mchezo rasmi leo 29/03/2024 saa tatu usiku.

Ungana nami katika uzi huu ili kupata matukio mbalimbali yatakayojiri kabla na wakati wa mchezo huo.

Karibu.
Unaanzisha uzi huna updates! Weka picha za uwanjani wewe
 
Back
Top Bottom