House of Commons
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 2,179
- 2,177
Unaanza kuleta ujinga weweAhsante sana Mama samia
Kuziwezesha timu kufuzu
Hakika tunaona juhudi zako 🥴
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaanza kuleta ujinga weweAhsante sana Mama samia
Kuziwezesha timu kufuzu
Hakika tunaona juhudi zako 🥴
salaaaale,,!😁Uzalendo hauwezi kushinda mechi,kama huna timu bora labda wachawi ndiyo waungane kizalendo
Nlikua naitafuta hii picha. 🤣🤣🤣🤣
DSTV 295TBC wataonyesha hii mechi?
Hii chanel namba 295 ni channel gani? Sina kisimbuzi cha dstvDSTV 295
Ila Evelyn au basi😁Rafiki zetu washafuturu sasa bila shaka wamekula na tende za kutosha.....tayari kwa kuja kutukanda.
Sema neno kwa friends zetu.....😹😹Ila Evelyn au basi😁
TV za Taifa kama TBC wana haki ya kuonyesha hii mechi ingawaje Dstv pia wataonyesha kwa channel 295 ya kulipia Tsh 30,000 au Tsh 37,000 kama sikosei...
Ukiwasikia wathimbaa wenyewe utafikiri hawaijui timu yao..,ngoja leo wafanywe daku😂Sema neno kwa friends zetu.....😹😹