FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

Mafarao wamekuja na kila kitu Hadi mapipa,

Wamesahau kuja na uwanja

Hiyo ni Mistake wamefanya,

Maana tukitumia uwanja wa mkapa hatoki MTU.
Kumbuka AFL mlitokaa sare Sasa sijui unamaana gani

Simba uwezo wa kwenda nusu fainali tuachie yang Africa s
 
29 March 2024

KUELEKEA WA-MISRI KUJIAMINI KTK SOKA LA AFRIKA, IKIWEMO MECHI YA LEO

29 March 2024Cairo, Egypt
Wakiwa ktk mabusati na makochi, wanatazama kwa matumaini makubwa historia ya magoli ya Hossam Hassan yapitiwa kuonesha umahiri wa mfungaji magoli na kuombea mambo yawe mazuri ingawa Al Ahly hawana mtu hatari kama Hossam Hassan ila wanategemea zaidi timu ishinde kwani hawana mtu kama Hossan Hassan. Tutizame magoli yake Hossam Hassan

Myth | Hossam Hassan is a great scorer and a special case in the history of Egyptian football 🤩🔥


View: https://m.youtube.com/watch?v=o0kRe7BEPSc
 
p_6832124121384522232757_0_5e7075bc9850341bc4dd7edf10dd5eca-jpg.2528770.jpg
 
Kwa
Kama Una akili timamu utajuwa Ile picha ina hila ndani yake, kama ni hivyo basi unaweza kuchukuwa picha ya jiji la Dar Kwa drone kutokea mission Kota uone mabati ya kutu na vijumba vibofu mbele ndio utaona majengo ya kisasa.

Kila nchi kuna sehemu dunia na view nzuri, hiyo picha ya Al Ahaly ina hila na uhujumu Kwa Tanzania.

Tena hapo pembeni kuna Kambi ya Jeshi ya Twalipo kutoka ilikochukuliwa picha maeneo ya Temeke Wailes, jeshi wakati mwingine liwe macho ukikamata Kenge kama hizi unazipa discipline kama Putin anavyoyapa discipline yale magaidi ya itikadi kali yaliouwa innocent people Moscow.
Kwa hiyo mchukua picha alikuwa karibu na kambi ya jeshi na akafanikisha adhima yake?
 
Back
Top Bottom