Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Kwani kuna faida gani mtu anapata kwa kuwa wa Kwanza kuanzisha thread hapa? Maana naona inakuwa kama vita hivi, au mnalipwa ili na Sisi tuchangamkie hiyo fursaTrue True!!
Anachonishangaza ni kuwa ukimuwahi tu, anafuta post zote zilizomtangulia!
Akiwahi yeye anaunganisha uzi.
Na ndio kitu sahihi!!
Inabidi Admins wa JF wasiwe na Akaunti binafsi.
Kama wanataka hizi nyuzi za ball wazigenerate wao si kuna ile Akaunti ya Roving Journalist ndio itumike ili kuepusha double standard.
Mbaya zaidi mdau huwa anajitokeza kwenye game kubwa tu!! 😂😂😂
Itakuwa mara ya kwanzaLeo mnamo majira ya saa 3 usiku Klabu ya Tanzania Simba Sports Club itakuwa nyumbani kumenyana na klabu ya Al Ahly ya Misri katika mechi ya mkondo wa kwanza (First Leg) wa robo fainali wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Maandalizi ya timu zote mbili yameenda vyema, kinachosubiriwa ni mchezo rasmi leo 29/03/2024 saa tatu usiku.
Ungana nami katika uzi huu ili kupata matukio mbalimbali yatakayojiri kabla na wakati wa mchezo huo.
Karibu.
Mh! Huyu bwana anachambua mpira!"Sitashangaa Simba akifungwa kama asiporekebisha makosa yake, Al Ahly hawezi kuja kizembe mchezo wa leo" Emmanuel Mwayombo Jr, Mchambuzi wa Soka katika kituo cha Radio Bongo FMView attachment 2948056
Hivi kuna malipo boss?True True!!
Anachonishangaza ni kuwa ukimuwahi tu, anafuta post zote zilizomtangulia!
Akiwahi yeye anaunganisha uzi.
Na ndio kitu sahihi!!
Inabidi Admins wa JF wasiwe na Akaunti binafsi.
Kama wanataka hizi nyuzi za ball wazigenerate wao si kuna ile Akaunti ya Roving Journalist ndio itumike ili kuepusha double standard.
Mbaya zaidi mdau huwa anajitokeza kwenye game kubwa tu!! 😂😂😂
perc tau ataishia kukimbia kimbia tu na hatamaliza dakika 90 outPerc Tau Mungu akufanyie wepesi ndugu yangu
Umeandika ukweli ambao hata mwenyewe naingia nao kwenye mechi ya leo na keshoMtihani wa Simba na Yanga upo kwenye kufuzu nusu fainali, lakini swala kushinda hata Kwa ushindi mwembamba liko palepale.
Tatizo ya hizi timu zote tunazocheza Nazi hakuna hata timu moja ya kumuingiza kwenye mfumo uwapige nyingi labda maajabu ya Mpira yatokee.
Maana Al Ahaly ukiwafunga goli kurudisha kwao siyo issue na hao Masandawana ukiwatandazia ball ni Sawa na nguruwe umempeleka kwenye matope ndio mchezo anaoenjoy.
Wengine ndio starehe yao hioMkuu Kwani kuna faida gani mtu anapata kwa kuwa wa Kwanza kuanzisha thread hapa? Maana naona inakuwa kama vita hivi, au mnalipwa ili na Sisi tuchangamkie hiyo fursa
TBCHivi mkuu uran hii Mechi kwenye king'amuzi cha DSTV wanaonesha chaneli ipi?
Mwarabu hatoki leo lazima jitu lifie kwa Mchina.Leo mnamo majira ya saa 3 usiku Klabu ya Tanzania Simba Sports Club itakuwa nyumbani kumenyana na klabu ya Al Ahly ya Misri katika mechi ya mkondo wa kwanza (First Leg) wa robo fainali wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Maandalizi ya timu zote mbili yameenda vyema, kinachosubiriwa ni mchezo rasmi leo 29/03/2024 saa tatu usiku.
Ungana nami katika uzi huu ili kupata matukio mbalimbali yatakayojiri kabla na wakati wa mchezo huo.
Karibu.
Mind game...Kama mwana Yanga hii habari imenichanganya sana.View attachment 2948080