Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumalizane na Simba kwanzaUsinifanyie hivyo malkia😂
😂😂😂 Hii kaliLabda watumie pressure cooker
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena ukae kwa password haswaaa,Hahahaa. Mtani unahisi tutafanana? [emoji23]
Kubetia simba na yanga unataka kufa🤣Kwani hawa simba hawawezi kupata goli moja, nataka niwape wapate goli, odds zinahamasisha!!
Si kwamba hairuhusiwi kumbuka kashatanguliwa ni maamuz ya busara tu kwa mwamuzi kutoa advantage tu na sio kwamba haipaswi.ukiwa ugenini huruhusiwi kupewa penati hii nimefahamu leo
Goooal kibuChama is Chama tu.
Hongera sana Chama unakipigaaa
Kafunga njeKibu pumbavu anapaishaje pale