FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] soka safi huku unalalamika??
Leo simba hamtoki nawaambia, hapo kisebu sebu na kiroho papo [emoji23][emoji23][emoji23]
Km nakuona ulivyo hutulii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu tulizanaaa kwan em!! Mbona una heka heka sanaa? Kwemaaa?
 
Hapo alitakiwa ateme mate chini kwanza alafu afute jasho na Tshirt kabla ya kupiga foul kama mwamba wa ouagadougou😀😂
 
Unaangalia mpira lakini?
hujui sheria za mpira
kuangalia ni tofauti na kujua na kutafsiri sheria

kwamba nikwambie chama kakosa faulo iyo ama ama kadi ya inonga ndo uamini naangalia
 
Huu upumbavuu sasa, ndo kukosajee palee? Inaboaa mxxxieeew
 
Inonga na Che wapande kimahesabu hii ilikuwa kaunta nzuri sana kwa Al Ahly.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…