Mashuti!!! Hayo mashuti wamejiandaa lini....walikua bize na masandawana sijui misandawanaDuuuuh ni kuwa hawa wachezaji wetu hawana nguvu ya kufumua mashutiiiii? Aaaah inakeraaa sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu tulizanaaa kwan em!! Mbona una heka heka sanaa? Kwemaaa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] soka safi huku unalalamika??
Leo simba hamtoki nawaambia, hapo kisebu sebu na kiroho papo [emoji23][emoji23][emoji23]
Km nakuona ulivyo hutulii
Tutawapiga InshallahHawa tunawapiga na watu hamtaamini
ThubutuuuuuuGoli hili😁🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan full tafraniii. Kwa kweli lolMashuti!!! Hayo mashuti wamejiandaa lini....walikua bize na masandawana sijui misandawana
hujui sheria za mpiraUnaangalia mpira lakini?
Screen imeungua?Nawategemea kwa updates huku mambo si mambo tena