Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashuti!!! Hayo mashuti wamejiandaa lini....walikua bize na masandawana sijui misandawanaDuuuuh ni kuwa hawa wachezaji wetu hawana nguvu ya kufumua mashutiiiii? Aaaah inakeraaa sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu tulizanaaa kwan em!! Mbona una heka heka sanaa? Kwemaaa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] soka safi huku unalalamika??
Leo simba hamtoki nawaambia, hapo kisebu sebu na kiroho papo [emoji23][emoji23][emoji23]
Km nakuona ulivyo hutulii
Tutawapiga InshallahHawa tunawapiga na watu hamtaamini
ThubutuuuuuuGoli hili😁🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan full tafraniii. Kwa kweli lolMashuti!!! Hayo mashuti wamejiandaa lini....walikua bize na masandawana sijui misandawana
hujui sheria za mpiraUnaangalia mpira lakini?
Screen imeungua?Nawategemea kwa updates huku mambo si mambo tena