joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Leo sizioni post za Sold Out au siku hizi hamjazi uwanja.Leo mnamo majira ya saa 3 usiku Klabu ya Tanzania Simba Sports Club itakuwa nyumbani kumenyana na klabu ya Al Ahly ya Misri katika mechi ya mkondo wa kwanza (First Leg) wa robo fainali wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Maandalizi ya timu zote mbili yameenda vyema, kinachosubiriwa ni mchezo rasmi leo 29/03/2024 saa tatu usiku.
Ungana nami katika uzi huu ili kupata matukio mbalimbali yatakayojiri kabla na wakati wa mchezo huo.
Karibu.
#nguvumoja#Kila la Kheri Mnyama Tunataka 4 au 5 Goli Inshallah View attachment 2947916
Lolote baya liwakute, nyie mali ya kanji bah.Kila lakheri chama langu [emoji881][emoji881]
Kila la heri Makolokolo ili muwapatie hamasa Wanajangwani 30/03/2024 wawapige Mamelody Sundowns 2-0.Mkuu hebu funguka hizo nyumba chakavu zipo ama hazipo?
Kama Una akili timamu utajuwa Ile picha ina hila ndani yake, kama ni hivyo basi unaweza kuchukuwa picha ya jiji la Dar Kwa drone kutokea mission Kota uone mabati ya kutu na vijumba vibofu mbele ndio utaona majengo ya kisasa.Sasa kwani hio picha ni ya uongo?
Pambane na halizenu, Yanga haiwahusu.Naomba Mungu Utopolo atiwe aibu kesho na Mamelodi
Kichwani mwako kumejaa MAVI (FAECES)Simba hii hii ya jobe na babacar wa mbagala ndiyo iifunge al ahly?
Naziona bao hizii: 0-5 na mkifika cairo mnachezea wiki
Kolopwinho Mbumbumbu Wamatopeni Kolouzidad Watapigwa Kama NgomaMkuu nimeshajiandaa leo baada ya ibada tuu najongea uwanjani na jezi nilikuwa nayo kitambo tuu
"Kwenye mkeka mpe al ahly with no GG"
HAtuwapigi nyingi kuwadhalilisha.. kuweni wavumilivu tuTutashinda lakini naogopa πππ
Hakuna timu yoyote Kwa sasa inayoweza kutufunga goli nyingi Kwa Mkapa, hizo Zama zimepita.Hawa Wamatopeni Kolouzidad Wakikaa Vibaya Mambo Ya Hamsa Yanaweza Kuwatokea
Mtihani wa Simba na Yanga upo kwenye kufuzu nusu fainali, lakini swala kushinda hata Kwa ushindi mwembamba liko palepale.Tutashinda lakini naogopa πππ
GG ipo mkuu watafungana na kuchomoa harafu watapigwa goli la pili hilo watabaki kumlaumu kipa wao tu..Mkuu nimeshajiandaa leo baada ya ibada tuu najongea uwanjani na jezi nilikuwa nayo kitambo tuu
"Kwenye mkeka mpe al ahly with no GG"