FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

Sina mengi leo,
Sina solidarity kwenye mambo ya kipumbavu.
Naomba makolo mniambie Shomary kapombe ana tatizo gani..?
Hana confidence, hana speed, anafanya makosa mengi sana binafsi. Shida ipo wapi..?
 
Nichukue wakati huu kuwakaribisha kesho kwenye burudani tukufu muda ndo ule ule waliofir*wa watu leo.
Simu ziite
 
Timu imecheza vizur bahati tu imekosekana, ila Hawa waarabu Wana ujinga mwingi sana jamaa kabebwa kwa machela ka relax akijidai anaugulia maumivu kafika nje ya uwanja karuka fasta anataka kuingia tena uwanjani
Ikiwa upande wenu mnaongoza ni furaha sana kupoteza muda ila ikiwa tofauti huwa ni maumivu makali. Hata simba ingepata nafasi ya kuongoza ingefanya hivyo.
 

Hii unachokionyesha hapa kinaitwa ' ngozi nyepesi'

Hii mambo Waachie Wenye ngozi ngumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…