Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Sidhani. Nadhani hana sababu ya kupanda na kurisk wakati anaongoza. Anaiheshimu Simba.Al ahly kapaki bhasi Anauoga sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani. Nadhani hana sababu ya kupanda na kurisk wakati anaongoza. Anaiheshimu Simba.Al ahly kapaki bhasi Anauoga sana
Kwa hiyo zis is simba hamna kitu?🤣🤣Hiyo ni imani ya kuhamisha milima🤣
simba wanakosa utulivu tu ila hapa wamesha win mchezoNakuaminia.....kukata tamaa mwiko🤣
Em huko nawee, mxxxxiiiiieeeewJuu ndio kuna goli huko
Ndio kutokujua kwenyewe huko sasa.Hapana simba wamepanic sana....
Ila al ahly wanauoga kwahyi NAONA NGOMA DROO wote wanatanu tu
Kama hana Uoga asicheze nyuma ya MstariSidhani. Nadhani hana sababu ya kupanda na kurisk wakati anaongoza. Anaiheshimu Simba.
Lazima wakatikeViungo wetu wanakatika sana.
Babakar na Ngoma wamepoteana pale kati.
Utulivu kidogo unahitajika, tutashinda hii game Inshallah!!
😂😂😂😂😂 Doctor umetangulia kusema Yanga wamefukia vitu kwa pitch.Hmna wachezaji wa simba Naona tu kama Wamelanic na wanauoga sana
Hadi ugali uishe kichwani🤣Kwa hiyo zis is simba hamna kitu?🤣🤣
Mapipa yale yana nini kwani?Hapana simba wamepanic sana....
Ila al ahly wanauoga kwahyi NAONA NGOMA DROO wote wanatanu tu
Mtani tukipoteza, mnapoteza! tukishinda mnashindaNakuaminia.....kukata tamaa mwiko🤣
Yale mapipa hua wanaweka nini?
Msitupangie namna ya kuchezaKama hana Uoga asicheze nyuma ya Mstari