Kiweriweri
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 2,150
- 3,086
Ndiyo, dhidi ya Zamalek na Mehala el KubraUlishawahi kushinda huko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo, dhidi ya Zamalek na Mehala el KubraUlishawahi kushinda huko?
Mnakaribishwa mjifunze kwangu! Kama hukuona vulnerabilities za Al-Ahly na makosa ya Simba kwenye mechi ya leo, utahitaji darasa la mwezi mzima.
Ulishawahi kushinda huko? Sio weww ulibamizwa tano huko?
Sa mbona nyie mnafatilia ya kwetu[emoji21]Next time makolo mjifunze ku focus kwenye mambo yenu muache kufatilia ya wenzenu. Kutwa kucha ilikuwa kuijadili Yanga atafungwa na Mamelodi mkasahau mnacheza na mwarabu.
Mmeonesha ujinga wa hali ya juu
View attachment 2948610
Mehala kubra ni timu au madrassa hiyo? Zamalek ulimtoa kwa penati, ulimpiga naye akakupiga kwake, Cairo.Ndiyo, dhidi ya Zamalek na Mehala el Kubra
Ulimfunga ngapi Zamalek kwake? Si ulipigwa moja ukapita kwa penati? AmaN
Ndio, uliza Zamalek aliyekuwa Bingwa mtetezi Wakati huo,alifanywa nini Cairo ..
Watu Wana Historia zao Bwana...!
Mehala kubra ni timu au madrassa hiyo? Zamalek ulimtoa kwa penati, ulimpiga naye akakupiga kwake, Cairo.
Ahly ushawah mpiga kama unavyojinasibu?
Mi mwenyewe nnaeUlifilia wapi?
Nina mpenzi mpya ujue.
we hiyo timu alotaja unaijua? [emoji1][emoji1]Kwaiyo ndo Kusema unayadharau Madrasa...!
Mbona We unataka Kuanzisha Vita ya Dunia humu...!? Sijui itakuwa ya ngapi?
Mkapindue meza sasaView attachment 2948697
Kashitaki CAF kwanini muongoze stats alf mfungwe nyie kama sio hujumaStats za Uto za dhidi ya Al Ahly ilikuwa ni aibu kwa soka letu...
Sio kwa mukapa?Simba tutashinda Cairo na kuingia nusu.
Weka kumbukumbu hii sawa.
Simba hawajacheza vibaya. Ahmed kazi yake kuhasasisha.Ila hawa wasemaji pamoja na kuhamasisha ila wanachangia pakubwa kutuaminisha ujinga
Ukisikiliza tambo za Ahmed Ally na kilichofanyika uwanjani ni mbingu na aridhi 😂
Ngoja tusubiri na kesho Yanga