Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Uko wapi kwani!!Yani sijui tuielezee vipi πππππππππππππππππππππππππππππππππππ
Tukupe filimbiRefa ndio aliyewabeba Hawa Utopolo...
ZengeliiiSi mseme tu, wengine tuko huku kwa Gachagua.
Golini hapa goliniii namsubiria diarra nna ujumbe wake simu yake haipatikani ππππππππππππππUko wapi kwani!!
Mnapigwa back to back, aibu hii...Yaani uto mngejua tunavyoteseka wenzenu kmmmk. Daah!
Huku Kwetu kuna Kolo la Tanesco limekata umeme, dakika ya ngapi sasa?Yani sijui tuielezee vipi πππππππππππππππππππππππππππππππππππ
Kipa unampa lawama za bure tuLilikuwa suala la muda tu.
Makosa ya pin pin na kijiri
Aiseee na ndio watapoteana kabisa wazee wa kupanickMuda wa kocha wa makolo kuteseka kwa maneno.