Right Way In Light
JF-Expert Member
- Jul 27, 2024
- 1,322
- 3,461
MMEANZAAAAAAARefa ndio aliyewabeba Hawa Utopolo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MMEANZAAAAAAARefa ndio aliyewabeba Hawa Utopolo...
Aisee full Raha nakuja hapo nicheze na msambwanda huooo...hamna kulalaBambalaga....
Kama elsasii alivyowabeba nyinyi dhidi ya Azam.Leo team imecheza vizuri, licha ya hili kosa la Camara na kijili . Sema pia Kayoko kawabeba sana Yanga.
Mimi Shemeji yako kanuna 🥹Refa maliza mpira, shemeji ako ananiita.......
Kucheza vizuri ila umedondosha point tena mechi 4 mfululizo ?.... anyway tukubali tu ndio mpira...Leo team imecheza vizuri, licha ya hili kosa la Camara na kijili . Sema pia Kayoko kawabeba sana Yanga.
Njoo tutubu bhana kaweka chuma maxiiiPacome alikuwa kashawakamata Hawa lunyasi maana alikuwa na forward runs nzuri sana
Njoo, na hivo sijavaa pichu...karibuAisee full Raha nakuja hapo nicheze na msambwanda huooo...hamna kulala
alaf linakua na nguvu na maumivu makalBao moja ndilo linalotia mimba
Mpira ulikuwa unatoka kurudisha ndani mwenyeweKipa unampa lawama za bure tu
Simba ipo imara kwa wanaojua mpira 🤔Mimi Shemeji yako kanuna 🥹
SawaWe nae unapenda mserereko, penati??? Pambaneni mshinde sio kwa penalty
Usikimbie💚💛Labda la kujifunga. Hakuna anachoweza kufanya Aziza