Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haikua nahaja yakufata mpira unaotoka nje.Kipa unampa lawama za bure tu
Acha kabisa ni fedhehaDah!....hivi vipigo mfululizo ni kutiana aibu tu.....
Nipigie kwa namba inayoishi na 250Golini hapa goliniii namsubiria diarra nna ujumbe wake simu yake haipatikani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
90 tayari zimeongezwa 7Huku Kwetu kuna Kolo la Tanesco limekata umeme, dakika ya ngapi sasa?
Leo team imecheza vizuri, licha ya hili kosa la Camara na kijili . Sema pia Kayoko kawabeba sana Yanga.Dah!....hivi vipigo mfululizo ni kutiana aibu tu.....
Wewe ni mtu hatari kwa kutabiri.Yeyote atakaye ruhusu bao kwa dakika hizi basi mechi itakuwa imeisha
Oyaa mzee baba hii imekuwa too much aisee! Hata droo zinatushinda. Aibu kubwa sanaMnapigwa back to back, aibu hii...
Bambalaga....Mishangaziii ya yanga Leo twaenjoy wapi
Refa amalize mpira tu, kwani dakika ya ngapi huko? Walichofanikiwa Simba ni kupunguza idadi ya magoli kwa ile mvua yao ya kishirikina.Kama kawaida etuu