Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #741
Tutaambia nini watu🥲
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimokooo kitamuuuMbwa taka taka tafuteni pesa asee😅
Simba ni simba mbwa nyie🤗Pole sana dogo😆😆😆😆
Inaumaaaaaaaa kanunue kuduuuuu 🤣🤣🤣🤣Hakuna faulo ya maana ya kuweka mpira wa kutenga pale. Tumehujumiwa. Tumehujumiwa. Tumehujumiwa
Asante mkuu, ila huwa mnatuharibiaga sana weekend wataniPoleni sana mkuu, hii aibu sana kwa mnyama!!
Msianze kutoka lawama kwa matola tuu maana hamchelewi nyieTutaambia nini watu🥲
Dah!...tumefedheheka kusema kweli....ila ndio hivyo ishatokea.FT’ Simba 0-1 Yanga
Yeah hakukua na haja ya kuudakaKosa la kipa lile Masta. Ule mpira wa kupiga ngumi ma sio kama vile alivyofanya.
Poor positioning ya Kijili nayo ikamalizia kazi.
Refa kawapa faulo ya kijinga, hakuna madhara yoyote pale. TumehujumiwaRefa Kawabeba...
Refa Kawabeba...
Wameshaanza kukata pumzi...
Refa Man of the match...