FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024

FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024

Oahua hamna kitu na inashangaza kumaliza DK 90, hawa akina Balua average Sana.
 
Oyaa mzee baba hii imekuwa too much aisee! Hata droo zinatushinda. Aibu kubwa sana
Mkuu usiumie, kwa namna tulivyopata pigo la kufumua kikosi, na namna mpinzani wetu alivyojiimarisha ilikuwa ni ngumu mno kushindana nae, lakini angalau vijana wanaimprove kwa sasa, angalia tangu tupigwe goli 5 hii ni mehi ya nne magoli yanazidi kushuka, hii ni dalili njema sana kwa upande wetu na mbaya kwa upande wao, nasema hivyo kwa sababu wanazidi kushuka huku mashabiki wao wakikaza mafuvu eti hapa tunamfunga simba goli zaidi ya nne, tano, kumi na mautopolo mengine mengi wakati uhalisia wapo kwenye mtelemko.mechi ya leo kwa kiasi kikubwa tumeshinda kama sio refa na uzembe kidogo hapo kwa kipa na kajiri.

Any way kama kuna mwanasimba alijua tunashinda hii mechi ajue kazingua mno tena mno.

Kufikia hapa mimi naona tumeshinda, tuwape pongezi kuanzia kocha na wachezaji tulipita kwenye ugonjwa mzito sana kuja kutegemaa ni misimu kadhaa mbele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kocha mpya anapokujaga mara nyingi mechi tano au kumi za mwanzo huwaga anafanya vizuri.Ila zinazokuja zinakuwaga ngumu sababu watu wanakuwa tayari washajua kikosi chake cha kwanza,pattern,mifumo na sub,labda awe na mifumo mengine.Ndio mnaingia phase ya pili timu zishawajua,ila hiki cha leo sio kiwango chenu bali mmekamia ndio maana mmejiweka.
 
images (12).jpeg
 
Max anashangilia na kufikia kutuonesha maneno ya kanga aliyovaa ndani as if lile goli kafunga yeye.

Azam nao mwanzo waliingia kichwa kichwa wakampa credit kwa kile walichokiona kwa Max.
Sasa bila yy kuwahi ule mpira huyo Kijili angejiweka vipi,Assist kwenye mpira ina maana sana ni sawa na kusema Max katoa Assist, Kijili kanogewa kajiweka.
 
Anapewa kazi kisa uzembe wa watu wengine kabisa
Tusuiri next time, tukifungwa tena itakuwa mara ya 5 mfululizo kama zile goli tulizopigwa siku fulani hivi siikumbuki.
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Back
Top Bottom