Hahaha, malizia hasira zako kwangu wala hamna shidaSimba ni simba mbwa nyieπ€
Tumejifunga ....Tutaambia nini watuπ₯²
We ni mganga wa kienyeji?Dakika za jioooooni wananchi bado wanatamba kwa mkapa. Yanga hii utaifungaje?
Wananchi wanafurahi, taifa linafurahi. Ni daresalaaam Young africans tena
wanaendeleza walipoishia. Ni hapo baadae.
All the best Yanga bingwa ππ
Washabiki wengi wa yanga ni oya oya hakuna kituπππKimokooo kitamuuu
Hapo vp?Tabiri zangu 2, Simba tunafungwa 1 bila
Au tunadroo 1-1
All the best my team π¦
Faki yu broπ πHahaha, malizia hasira zako kwangu wala hamna shida
Kama makolo walivyopata mbeleko dhidi ya coast na Dodoma Jiji katika me hi zakeDah, Uto Leo wanatokea mbereko tu...
Saa izi wangekuwa wamekalishwa viwili