Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Aiseee uchawi wa mvua kidogo umeonyesha matokeokimeshindikana nini kupiga izo 4?
Wapi na wapi OG ikawa na assist?Sasa bila yy kuwahi ule mpira huyo Kijili angejiweka vipi,Assist kwenye mpira ina maana sana ni sawa na kusema Max katoa Assist, Kijili kanogewa kajiweka.
Anaweza kuangamiza halaiki ya watu.
Ogopa sana mjinga mwenye confidence
Endelea kujinyoa na wembe wa Mr kickπππππ
Mbwa takataka nyie simba tupo vizuriTulia kijanaView attachment 3129937
Pumbavuπ π
Kwani assist maana yake nini? Ile ni assists ila mpinzani ndiye aliyejifunga.Wapi na wapi OG ikawa na assist?
Nimeshangaa sana kuona eti ile ni faulo. Okejepha ameucheza mpira bila kumgusa mchezaji wa Yanga lakini cha ajabu imetolewa faulo.ππππkayoko kawapa faulo
Hewa
Sawa mwanetuMbwa takataka nyie simba tupo vizuri
Kabisa mvua imepunguza mvua za magoli, sahivi atakua anaukweka huko πΉHivi yule mnajimu Genta naye kajificha wapi? Ila ushirikina wao wa mvua umewasaidia kupunguza idadi ya magoli.
Nyie ni mbwa tuEndelea kujinyoa na wembe wa Mr kickπππππ
Dah!...roho ya vichapo bado inatuandama hapo msimbazi.NAOMBA hata droo tu. Nimechoka na kichapo
Tugange yajayo.Mbwa takataka nyie simba tupo vizuri
Pole sana chiefKushabikia kitu kinaitwa Simba mwisho leo. Kuna maisha mengine nje ya local soccer
Sawa utopolo waloziSawa Nchambuzi nguli , furaha ni Kolo kufungwa tu.