Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Mzee ulikua unacheki boli kwa kutumia kifaa gani??Leo team imecheza vizuri, licha ya hili kosa la Camara na kijili . Sema pia Kayoko kawabeba sana Yanga.
Nyie ni simba tu 🤣🤣🤣Nyie ni mbwa tu
Tunakupenda shindikana🤣🤣🤣🤣
Ingia kwenye link afu join lipia utaenjoy hata marudio yapoMkuu unaweza nisaidia msaada nipate kuangalia hii mechi Kwa Azam max maana nipo nje na nchi
Washabiki wengi wa yanga ni oya oya tu, mbwa takataka hawa🥲Tugange yajayo.
Kabeba vipi? Ile ya Dube aibu tu pale VAR mnakula red.Mzee ulikua unacheki boli kwa kutumia kifaa gani??
Kayoko sio kaibeba yanga, kahabribu mchezo kwa kubalance matukio.
Huna pa kujifichia mtani.
Azam tv wanakwambia "hakuna kisingizio"
🤣🤣🤣🤣Kuna siku ya kisasi inakuja vyura watatoa milio yote.
HahahaNyie ni mbwa tu
Shindikana wewe nakuchukia zaidi🥲Tunakupenda shindikana🤣🤣🤣🤣
Ugua pole.
Naunga mkono hoja! Kipa gani yule anaokoa mpira wa nje na kuurejesha ndani! Kelvin Kijiri naye akaamua atie kamba kwenye goli lake!!Fukuzen kipa uyoo na yule aliejifunga 🤣
Kipa hana kosa wala Kijili nae hana kosa mpira umemgonga mguuni ukazama nyavuni.Katika moment kama ile kipa hakujua kama mpira ulikuwa unaenda nje.
Alichokifanya yeye ni kuokoa hatari ambayo kwa wakati ule alikiwa katika position sahihi
Tema nyongo yote leo mkuu!!
MwananchiiiiiiiWashabiki wengi wa yanga ni oya oya tu, mbwa takataka hawa🥲