FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024

FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024

Kariakoo Derby!

Simba Vs Yanga, mchezo wa kukata na shoka. Je, Simba atafuta Uteja wa kufungwa na Yanga mfululizo?

Kwa LigiKuu msimu huu, Simba imecheza michezo 5 ikikusanya alama 13 na Yanga michezo 4
ikikusanya alama 12.

Katika siku hizi za karibuni Yanga imeonekana kupata matokeo Chanya dhidi ya Simba na hii ni kutokana na Quality ya kikosi cha Yanga lakini haiondoi uhalisia kwamba Simba nao wana kikosi kizuri hasa msimu huu ambao wametamba Kusajili vizuri.

Mechi ni Saa 11:00 Jioni katika dimba la Benjamin Mkapa

Live kupitia Azam Sports 1HD, TBC Taifa kwa idhaa ya Radio.

Soma Pia: Refa wa Mechi ya Simba Vs Yanga ni Ramadhan Kayoko

View attachment 3129788View attachment 3129811
===========================================
Updates:
1’ Yanga wanaanza mpira

4’ Mpira umeanza kwa kasi huku Yanga wakifanya faulo kadhaa kwa Simba

5’ Ateba akiwa yeye na kipa anapoteza nafasi ya kuipa uongozi Simba

10’ Simba 0-0 Yanga

12’ Simba wametawala mechi mpaka sasa huku Yanga wakiwa wanawasoma

15’ Yanga wanafanya shambulizi lakini ukuta wa Simba unakaa sawa na kuokoa hatari

20’ Simba 0-0 Yanga
Mvua imefanya uwanja usiwe vizuri leo

23’ Mpira ni 50/50 timu zote zinashambuliana kwa zamu

25’ Simba 0-0 Yanga

29’ Mechi imepoa bado timu zinaviziana huku zikicheza kwa tahadhari

33’ Mechi imekuwa ya mbinu nyingi sana bado 0-0

35’ Boka anapewa kadi ya njano baada ya kumchezea madhambi Ahoua

41’ Pinpin Camara anaokoa mkwaju uliopigwa langoni mwa Simba na Aziz Ki

45’ Mwamuzi wa akiba anaonyesha dakika 3 zimeongezwa

45+2’ Jean Charles Ahoua anaonyeshwa kadi kwa mchezo usiokuwa wa kiungwana

HT’ Simba 0-0Yanga
Refa wa Yanga kamnyima Kibu penati 2! Mpuuzisana huyu jamaa.
 
Back
Top Bottom