Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ndo umeibuka sahivi baada ya kubana naniliu dakika 45 au sio.....tulia hapo hapo 😹Aah wapi🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo umeibuka sahivi baada ya kubana naniliu dakika 45 au sio.....tulia hapo hapo 😹Aah wapi🤣🤣🤣
Firimbi nyiingi mnooo. Refa haoni vizuri..kwakifupi waamuzi ndio wanaiharibu mechiMechi ina maamuzi ya kipuuzi hii. Poor refereeing
Dadavua mkuu, how??Mechi ina maamuzi ya kipuuzi hii. Poor refereeing
Wewe upo wapiTabiri zangu 2, Simba tunafungwa 1 bila
Au tunadroo 1-1
All the best my team 🦁
Kwa angle aliyokuwepo asingeweza kuona na uelekeo wa mpira ukabadili kabisa maamuzi yake.Dube alicheza faulo hakucheza mpira
Mwamuzi aseme tu hakuona naweza kumuelewa
Hao wazee ndo unaita wachezaji? Wonders shall never endAnawabeba kwa lipi? Yanga sio coast union Ina quality ya wachezaji mnatakiwa muwe na adabu
Utakua kolo wewe mqtch ya wanaume hii amna penalti za bahashaMechi ina maamuzi ya kipuuzi hii. Poor refereeing
Mshana Jr dakika 45 za kwanzaNdo umeibuka sahivi baada ya kubana naniliu dakika 45 au sio.....tulia hapo hapo 😹
Tutawasaidia kuwakuna wakianza kuwashwaSimba endeleeni kunyoa na wembe wa Mr kick
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tuanze upya na kipindi cha kwanza kwanzaHaya makocha wa jf...nini kifanyike kipindi Cha pili?
Maamuzi yanayotakiwa kuita faulo hayaitwi na yale ya kawaida yanaitwa ili kubalance. Hauwezi kuumudu mchezo kwa style hiyo. Kipindi cha pili inabidi arudi kuchezesha, bila hivyo mpira utamshinda.Dadavua mkuu, how??
Sihua watu wanasema kubalance derby.