Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaSimba kipindi cha lala salama wanapata kitete miguuni......hii itafutiwe suluhisho la haraka.
Labda la kujifunga. Hakuna anachoweza kufanya AzizaNdo ivo,Aziz ana bao lake hapo
Mvua inanyesha Wana ngiri hawawezi ingiaDakika ya 80 bado Maestro Chama hajaingia???
Wanazuiani kama simba wanazuia hivii
Dakika ya 80 bado Maestro Chama hajaingia???
Manula , masikini hana chake msumbaziSimba ingekuwa inacheza kwa spirit hii, isingefungwa hata mechi moja katika zile 3 za mwisho. Maduka yalikuwa yanaiangusha sana Simba
Kwani walijua mvua itanyesha kipindi wanapanga ratiba?Uwanja wa mkapa una jaa maji haufai kuchezesha big games kama hii,
Players Wana slides kinoma,
Aucho ana mpira wa kisenge sana na rafu zake za kishamba. Huyu jamaa kwenye ligi za maana angekuwa anakula umeme sanaYanga leo wanacheza judo
Sio maduka, ni uwezo.Simba ingekuwa inacheza kwa spirit hii, isingefungwa hata mechi moja katika zile 3 za mwisho. Maduka yalikuwa yanaiangusha sana Simba