Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pacome alikuwa kashawakamata Hawa lunyasi maana alikuwa na forward runs nzuri sanaUnajua anamtumia nzengeli kama engine yake ya kufukua mashimo ila leo kafeli Leo angemtoa tu Kisha akamweka mkunde Ili awe free kupiga kazi
Uliwasikia juzi tff walichokisema , walisema hata mvua ikipiga ni hakiaribiki kituKwani walijua mvua itanyesha kipindi wanapanga ratiba?
Kama Rafu zake mbaya atapewa kadi nyekunduAucho ana mpira wa kisenge sana na rafu zake za kishamba. Huyu jamaa kwenye ligi za maana angekuwa anakula umeme sana
Maji yamezidi ungani kama simba wanazuia hivii
Mbona hiyo ni ata ulaya...on average ball ipo in play for 60-65minutes out of the 90Mpira wa bongo ni kama unachezwa kwa dakika 60 tu ndani ya dakika 90
Dakika 30 wachezaji wanapoteza muda kwa kulala nk
Ndio alikuwa na hatari kuliko ata nzengeliPakome ni mpiga puli ,
Ulaya wanajitahidi ndio maana huwa zinaongezwa dakika nyingiMbona hiyo ni ata ulaya...on average ball ipo in play for 60-65minutes out of the 90
🤣🤣🤣Kwani ulitakaje?Hamna magoli hapa mechi ya kiseng3
Sasa sii Bora sie...stoke city enzi z delap wao me hi zao average time ball in play ilikuwa 55 minutesUlaya wanajitahidi ndio maana huwa zinaongezwa dakika nyingi
Ya chama kuingiaDakika ya ngap huko