Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka apewe atebaEti Nzengeli ndio Man of the Match....kituko kingine hiki
Samehaneni mkuu maisha yaendelee.Yeye ndiye ameanza sasa mimi nimfanyeje.
hujafungwa Kolo, umezidiwa ukajifunga π€£π€£π€£π€£Nimefungwa na nani?
Kaka umejiandikisha kwenye daftari πππNyie mpontu yanga na simba wala hajali maendeleo ya taifa lenu nwashangaa mno Tlaatlaah the π
KabisaaaSimba haina wachezaji. Wengi vilaza. Tangu ile mechi ya Coastal Union.
Na Yanga SCNimefungwa na nani?
Ubaya nu kwamba excuses kama hiz zishazoeleka mpaka unakosa mtu wa kukuzingatiaHakuna faulo ya maana ya kuweka mpira wa kutenga pale. Tumehujumiwa. Tumehujumiwa. Tumehujumiwa
We ungempa naniEti Nzengeli ndio Man of the Match....kituko kingine hiki
Hujafungwa umejifungaNimefungwa na nani?
Daftari la nyokoo lala dogoπKaka umejiandikisha kwenye daftari πππ
mbbaya huyu ukimkkuta porini kwenye vitaSawa mwanetu View attachment 3129956
Nasemea huyu wa kariakoo mkuumbbaya huyu ukimkkuta porini kwenye vita
Sasa wewe ndio umeongea ki sport. Hata mimi yanga nimeongea na jamaa hapa mtaani kwamba hilo kosa sio la kumlaumu Kijil wala KipaKuna watu watamlaumu kipa, wengine Kijili Ila makosa yameanzia kwa Balua. Balua akipata mpira kwa eneo ambalo ni hatari kwa Simba Ila akaanza kuzubaa nao baadae akatoa pasi isiyo sahihi mpira ulivyorudu kubambika ndio likatokea Hilo tukio.
Mtu anayetakiwa kubeba lawama ni kocha. Sub zake hazikuwa na maana mechi ya kupata pointi yeye anawaza draw kwa kifupi hii timu ni kubwa Sana kwake.
Kuna wachezaji walionyesha wamechoka lakini aliwaacha Hadi mwisho.