Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ungejua kuwa utopian ni mali halali ya CCM akii usingewatukana wenye timu yao kwamba ni waongo waongo 😂😂We jamaa kama hauna kadi ya ccm unaikosea sana nafsi yako 😹😹😹😹 umekaa kisiasa za uongo uongo tu 🤣🤣🤣
Wamepigwa goli ngapiTuwe wakweli, Azam leo wamezidiwa
Mkuu dk zisizo nyingi ni ngapi exactly maana naona mda unazidi kwendaAzam tunawachapa dakika sio nyingi
Mechi zote unakuaga na huu moto wa uongoo😹😹 kisha mnapigwaAngalia ball mrembo wangu, utaniambia.
Azam leo tumewakaba kila mahali
Jamaa anatuaibisha sisi mashabiki wa simbaMechi zote unakuaga na huu moto wa uongoo[emoji81][emoji81] kisha mnapigwa
Kwa hapa bongo anayemchukia Freddy ni Diarra pekee, vipi na wewe tukujumuishe na chuki za Diarra kwa Freddy?Aliyemleta Koublan Simba pepo ataisikia tu😀
Hesgimu muunganoYaaani hili ni bonanza ama ndondo
Tuipe jina gani?
Azam 4
Simba 0