FT: Simba 1-0 Azam FC | Muungano Cup | Final | New Amaan Complex | 27.04.2024

FT: Simba 1-0 Azam FC | Muungano Cup | Final | New Amaan Complex | 27.04.2024

Kombe limetengenezwa ili Simba aambulie kitu kabatini, ila naona Azam anafanya ukatili sasa anataka kumpokonya akimbie nalo!
 
Kuna chochote??
images.jpeg
 
Aiseee...
Tumewakosa tena
 
Simba sasa imeimarika wanacheza tacticalfootbal, inapendeza sana wanaelewana mno. Viungo wanyumbulifu na wenye nguvu, ukiangalia safu ya ulinzi iko vzr sana ikiongozwa na Yeriko che Malone, Forward ndo usiseme ukizubaa wanakukanda(kibu denis).
 
Tuwe wakweli, Azam leo wamezidiwa
 
Back
Top Bottom