FT: Simba 1-0 Azam FC | Muungano Cup | Final | New Amaan Complex | 27.04.2024

FT: Simba 1-0 Azam FC | Muungano Cup | Final | New Amaan Complex | 27.04.2024

Kombe la Muungano na pengine mwakani mkashiriki.
Kuna kombe linaloanzia nusu fainali? Hata hilo Bonanza la mapinduzi haliko hivyo.

Wakileta siasa zao tutawapeleka Yanga Princess.
 
Tumeongezewa Dakika 3
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kuna kombe linaloanzia nusu fainali? Hata hilo Bonanza la mapinduzi haliko hivyo.

Wakileta siasa zao tutawapeleka Yanga Princess.
Muda utasema wakati mnashiriki utajikumbusha mwenyewe.
 
Sema nahisi IQ yake ya maamuzi iko chini kidogo.
Anaonekana kabisa
Hahaha we jamaa, kwamba akibaki na goli mpaka akili yake imwambie sasa piga inachukua muda?
 
Kuna kombe linaloanzia nusu fainali?
The origin of the African Nations Cup dates from June 1956, when the creation of the Confederation of African Football was proposed during the third FIFA congress in Lisbon. There were immediate plans for a continental tournament to be held and, in February 1957, the first Africa Cup of Nations was held in Khartoum, Sudan.
Raafat Attia scored the first goal in the tournament for Egypt

There was no qualification for this tournament, the field being made up of the four founding nations of CAF (Egypt, Sudan, Ethiopia, and South Africa). South Africa's insistence on selecting only white players for its squad due to its apartheid policy led to its disqualification, and as a consequence Ethiopia were handed a bye straight to the final. Hence only two matches were played, with Egypt being crowned as the first continental champion after defeating hosts Sudan in the semi-final and Ethiopia in the final. Two years later Egypt hosted the second ANC in Cairo with the participation of the same three teams. Host and defending champions Egypt again won, after defeating Sudan.
 
Back
Top Bottom