Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Hiki nimekiona mara nyingi sana ni kweliKwenye battling, Simba lazima wapoteze mpira sijui wachezaji huwa wanafumba macho au woga wa kuumia ni mkubwa au sijui shida ni nini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki nimekiona mara nyingi sana ni kweliKwenye battling, Simba lazima wapoteze mpira sijui wachezaji huwa wanafumba macho au woga wa kuumia ni mkubwa au sijui shida ni nini.
Ndio uwezo wake ulipoishia hapo, kwani kocha hamkusikia?Onana sijui huwa anataka afungaje.
Mara tatu kafika golini. Ni kama vile anataka kufunga kwa style fulani ya kistaa.Onanaaaaaa...dadekii
Kasemaje?Ndio uwezo wake ulipoishia hapo, kwani kocha hamkusikia?
Hapana, umechanganya na yule kipa wa Man UnitedHuyu Onana ndio alikua anasifiwa na wanasimba??
Si ndio sasa. Inaonekana huko alipotoka hapakuwa pagumu aliweza kufanya hizi mbwembwe na akafunga.Ambayo na yeye haijui, nafasi anazopata angeshaitumia
Huku tukishinda tutaanza kuamsha ari ya kupambana walau tumalize nafasi ya pili ligi kuu.Mpumulie kwenye bonanza?
Ubuthu botho.
Kasemaje?Ndio uwezo wake ulipoishia hapo, kwani kocha hamkusikia?
Kombe la Muungano na pengine mwakani mkashiriki.Mpumulie kwenye bonanza?
Ubuthu botho.
Waliandika barua ya kumuomba msamaha.Huyu Onana ndio alikua anasifiwa na wanasimba??