FT: Simba 1-0 Azam FC | Muungano Cup | Final | New Amaan Complex | 27.04.2024

FT: Simba 1-0 Azam FC | Muungano Cup | Final | New Amaan Complex | 27.04.2024

Anzeni kutafuta kocha, kocha ameshawaaga anamalizia msimu anaondoka.
Nafasi ikiwa wazi huwa yanatumwa maombi zaidi ya 200. Kuachana na kocha huwa sio ishu. Ishu ni kuachana na mchezaji. Mfano ni mjadala wa kuondoka Feisal na Mayele ulikuwa mkubwa kuliko wa Nabi
 
Kwenye battling, Simba lazima wapoteze mpira sijui wachezaji huwa wanafumba macho au woga wa kuumia ni mkubwa au sijui shida ni nini.
Pamoja na kwamba siangalii hii mechi ila hili unalosema ni kweli na limeanza muda mrefu kidogo. Hii ni "Phiri effect"

Wakati wengine tulipokuwa tunampambania Phiri halafu tukawa tunaonekana vidomodomo na wachochezi tuliona athari zitakazokuja kutokea mbele na mojawapo ni hii.

Wachezaji wakiona mwenzao alipoumia, either timu haikumuhudumia ipasavyo au alipopona haikuonekana kumthamini tena, wenzake lazima wataanza kucheza kwa tahadhari zaidi.

Haina tofauti sana na kwenye mambo ya kijeshi. Kuna jeshi kama la Marekani wana sera inayosema "No man is left behind". Maana yake lolote litakalotokea katika vita au operation, hawamuachi mwenzao nyuma akiwa mzima, ametekwa, majeruhi au hata akiwa amekufa. Hii inasaidia wengine wapambane wakijua lolote litakalowakuta hawatatelekezwa.
 
Kocha kasema tangu aanze kufundisha mpira hajawahi kukutana na wachezaji ambao hawafundishiki kama hawa wa Simba.

Anzeni kutafuta kocha, kocha ameshawaaga anamalizia msimu anaondoka.
Kocha amechoka kufundisha madunduka.....
 
[emoji81][emoji81][emoji81]sema simba mna teseka sana asee hawa ndo striker wenu daah
 
Coastal kuanzia dakika ya kwanza walichagua kupaki basi. Na pia wamshukuru yule mlinda mlango wao Matampi.

Imekuwaje sijui mpaka ameangukia Coastal Union, mlinda mlingo wa timu ya Taifa ya DRC!
Bila Red Card Yanga alikua anapotea kwa Coastal Union acheni kujisifu Mkuu, mpira wetu ni Mipango zaidi kuliko viwango.
 
sema simba mna teseka sana asee hawa ndo striker wenu daah
Wataje kwa majina ili tuone kama unaelewa maana ya striker, au ndio dizaini ya mashabiki walioanza kufuatilia soka baada ya Manara kuwa msemaji
 
Ukiona Kashabalala kanaweka mikono nyuma, hesabuni maumivu. Kwakweli wachezaji wa Simba wanakubali kirahisi sana kuzidiwa kimbinu, kiakili na nguvu. Soka kwako ni fun sio ushindani hata kidogo. Au hawa viumbe wana kazi nyingine zaidi ya mpira?
 
Cheki hili Koblan, linajipigia vichwa vya kiboya kabisa huku likiwa limefunga macho. Mlioko Bongo jiandaenei kuizomea hii mizombi
 
Kona ya 12 Simba tunapata
 
Back
Top Bottom