Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Haina maajabu magoli yasiyo.na ushawishiunasahau anakutwanga kila uchwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina maajabu magoli yasiyo.na ushawishiunasahau anakutwanga kila uchwao
2018 walifika nusu, ficha upumbavu wakoInasemekana Hawa agosto kule angola kumbe ni mabodaboda tu
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Malengo ya Yanga ni Kuifunga Simba, ndo maana mnakaza.ila kimataifa aachiwe tu Simba.hahahaha kweli hata mechi za yanga huwa anakiwasha hatari
hahaha mkuu unakuwa msahaulifu sana magoli ya mayele hayana ushawishiHaina maajabu magoli yasiyo.na ushawishi
Hayana ufundi ndugu yangu mimi naona ni ya kukamia tuuuuhahaha mkuu unakuwa msahaulifu sana magoli ya mayele hayana ushawishi
Yale aliyoifunga Zalanhahaha mkuu unakuwa msahaulifu sana magoli ya mayele hayana ushawishi
iyo kimataifa simba kafika wapi, zaidi anaishia robo na tarehe 23 atatueleza vzrMalengo ya Yanga ni Kuifunga Simba, ndo maana mnakaza.ila kimataifa aachiwe tu Simba.
Nyie wachawi tu .....sasa km kweli nyie vidume kapindueni meza sudanunasahau anakutwanga kila uchwao
Ila anakula hela za hatari na ni exposure ya hatariiiyo kimataifa simba kafika wapi, zaidi anaishia robo na tarehe 23 atatueleza vzr
ulipigwa comeback moja hamji isahauYale aliyoifunga Zalan
nyie sio wachawi, hata south hamkuwasha moto uwanjani wala hamjawahi pigwa faini kwa ushirikinaNyie wachawi tu .....sasa km kweli nyie vidume kapindueni meza sudan
Hebu fafanua kidogo kwamba nao wanashinda kipindi cha pili kama Yangaulipigwa comeback moja hamji isahau