Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ubwege wewe,mbona sisi Simba tulimpiga alhilal 4-1 alafu nyie mkamshindwa?usajili mzuri anakutana na mechi za kibwege sana agosto huyo alipigwa 6 na namungo wewe 1 unachekaaaaa
Unaangalia mpira?Mnacheza na KMC...pumbaf...
mlimpiga mashindano ganiAcha ubwege wewe,mbona sisi Simba tulimpiga alhilal 4-1 alafu nyie mkamshindwa?
Ifike muda muwe mnakubal Simba sio level yenu ,nyie endeleen kumkamia kwenye lig wakat yeye Hana huo muda.
akili nukta hii.Prediction yangu mapema sana.
1. Aishi Manura.
2.Islael Mwenda.
3. Mohamed Hussein.
4. Onyango Achieng.
5 Enok Enonga.
6. Jonas Mkude.
7. Osmane SACKO.
8. Sadio kanute.
9. Moses Philiph.
10. Clotus Chama.
11.Okra
Ila hiki kikosi hata robo fainali kufika ni kwa shida Sana.
Desember watafute majembe ma Tano tu 5.
1. Beki wa kati 1. Waachane na ottara futi 6
2. Beki mwenye uwezo wa 2/3.
3. Kiungo 6. Futi 6 CDM. Akpan ni 8.
4.Bado 8 Pana shida.
5. Washambuliaji 9.wawili futi 6
Pigs chini hao
Sako.
Banda.
Akpan.
Okwa.
Ottara.
Dejan.
Wakizingatia Huu ushauri Nusu fainali wanafika.
Kuwa underdog au favorite sio permanent status, inategemea na kiwango cha wakati huo kwa mujibu wa CAF. Mfano, kwa sasa Yanga ikipangwa na Namungo, CAF inaichukulia Yanga kama underdog kutokana na kuzidiwa points.Leo ndo nimegundua Simba ni underdog kwa de agosto.jamaa washawai kutinga mpaka nusu caf champions[emoji123]
Crap….iyo kimataifa simba kafika wapi, zaidi anaishia robo na tarehe 23 atatueleza vzr
Nyie mtacheza na faru dume na mtafungwaMnacheza na KMC...pumbaf...
Kule kuna nyanda sio mlinda mlangoManula amedaka japo ni offside
Anza kunywa energy kabisa utunze nguvu usije kufa kwa presha hapo ifikapo saa 3 usikuMnacheza na KMC...pumbaf...
Hawa wakishiriki nbc ligi watakua mkiani tu wewe unawaona tofauti na ihefu ki uwezo?Maboda boda wenye vipaji na wanashiriki michuano
Hizi ni hasira!nyie mmefika mara 4 mfululizo ila haijawahi wasaidia msitembezewe kichapo mkirudi bongo