Yanatisha. Yangekutana na Uto yamepenyahaya majamaa ni marefu alafu ya miili nyumba.
Usiku ntasikiliza mechi yenu kwa kiarabu kinanogaga sana utasikia wasalamalekoo ykheeeee ni sufuriii bina hamsaaaaaHawa wakishiriki nbc ligi watakua mkiani tu wewe unawaona tofauti na ihefu ki uwezo?
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Yeah timu ya kawaida saaaaanaHawa wakishiriki nbc ligi watakua mkiani tu wewe unawaona tofauti na ihefu ki uwezo?
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Hahaa wazee wa halua halua ....Usiku ntasikiliza mechi yenu kwa kiarabu kinanogaga sana utasikia wasalamalekoo ykheeeee ni sufuriii bina hamsaaaaa
Duuu! Hujui kua Al Hilal alikslia nne hatua ya makundimlimpiga mashindano gani
Huyo achana nae hataki ukweliDuuu! Hujui kua Al Hilal alikslia nne hatua ya makundi
Hatari kwnza jioni wanapata kisusio cha Ngamia walaaah hatoki mtuHahaa wazee wa halua halua ....
Hao Primera De Agosto ni Nyasa Big Bullets wa Angola. Hiyo timu hata ingecheza na Polisi Tanzania, ingefungwa goli nyingi tu.
Una ufalaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usiku ntasikiliza mechi yenu kwa kiarabu kinanogaga sana utasikia wasalamalekoo ykheeeee ni sufuriii bina hamsaaaaa
Unaongea kama utopoloHao Primera De Agosto ni Nyasa Big Bullets wa Angola. Hiyo timu hata ingecheza na Polisi Tanzania, ingefungwa goli nyingi tu.