Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We acha tu.Daaaaaaah namna gani pale Phiri
Yule beki watara naona kwa kocha bonge atasugua sana benchOkrah na Phiri walikuja bila kimyakimya lakini wakiwa uwanjani shouts zinafika dunia nzima.
Yah kwa timu yake ila kwetu leo wote wako bien yani wako vzr mnooo sema leo di agosto wanalinda goli lao mnoooNadhani atakuwa man of the match
Wana Sudan mnaendeleaje huko? Mnalishwa tende tuHao Primera De Agosto ni Nyasa Big Bullets wa Angola. Hiyo timu hata ingecheza na Polisi Tanzania, ingefungwa goli nyingi tu.
hahahaha kumbe hata ujui ilikuwa bonanza mlilo andaa basi nikuache mkuu.Wewe huwezi jua mambo ya kimataifa. Wakati tunamtandika Al Hilal 4-1 Utokolo walikuwa wanacheza na IHEFU
Huyu Phiri Generali kwelikweli daah.
ukweli mchunguHao Primera De Agosto ni Nyasa Big Bullets wa Angola. Hiyo timu hata ingecheza na Polisi Tanzania, ingefungwa goli nyingi tu.
ikifika kweli ni joka ila la kibisaSimba ikiwa inakuja ni kama joka flani hii
Moyo utatoka huo urudi jangwani kwa spidi ya light
CAF wanaipendelea SimbaHao Primera De Agosto ni Nyasa Big Bullets wa Angola. Hiyo timu hata ingecheza na Polisi Tanzania, ingefungwa goli nyingi tu.
Leo twende tu!litakufa jituu[emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Hukoo SudaanWana Sudan mnaendeleaje huko? Mnalishwa tende tu
Kibu hajagusa mpira toka haingie au macho yangu...!??
Wanajua wakifanya masihara watafungwa mengi Sana kuzidi ya kule kwao[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]Yah kwa timu yake ila kwetu leo wote wako bien yani wako vzr mnooo sema leo di agosto wanalinda goli lao mnooo