Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
namungo alishinda huenda team ilikuwa mbovu lkn sasa hivi imesajili, hata yanga ilikuwa mbovu lkn imesajili,kishindo kiko wap, namungo alimpiga nyingi sana huyo
jana mamelod katimba kwa goli 15 wewe nne unaita kishindo kweli kolo n kolowizad
Tofautisha games za leg tu za kufuzu na unajua ninini unakitafutaTumecheza tumepata tulichokipata ila ukweli ni kwamba Simba tumecheza chini ya kiwango leo ..kwa mpira huu hatutafika mbali kwenye haya mashindano...
Ilikua tumeshakipata tulichokua tunakitafutaTumecheza tumepata tulichokipata ila ukweli ni kwamba Simba tumecheza chini ya kiwango leo ..kwa mpira huu hatutafika mbali kwenye haya mashindano...
Saa 3 usikuYanga wanapigwa saa ngapi?
Kwani ulikuwa unacheza na Timu mtaani? Au De Agosto walikuwa hawataki nao ushindi siyo..! Mbona bhah bhah haziwaishi nyie..!Tumecheza tumepata tulichokipata ila ukweli ni kwamba Simba tumecheza chini ya kiwango leo ..kwa mpira huu hatutafika mbali kwenye haya mashindano...
Ndivyo Mashindano haya yanavyotaka ndugu,...!Tumecheza tumepata tulichokipata ila ukweli ni kwamba Simba tumecheza chini ya kiwango leo ..kwa mpira huu hatutafika mbali kwenye haya mashindano...
Mlianza kusema tunaishia chekechea, sasa tunaenda makundi bado usemi haujabadilika tu..... mpira ni malengo.Tumecheza tumepata tulichokipata ila ukweli ni kwamba Simba tumecheza chini ya kiwango leo ..kwa mpira huu hatutafika mbali kwenye haya mashindano...
Tena aggregate ilikuwa 7-5 baada ya namungo kufungwa 3-1 nyumbani mechi ya pili.namungo alishinda huenda team ilikuwa mbovu lkn sasa hivi imesajili, hata yanga ilikuwa mbovu lkn imesajili,
kipindi kili match zote zilichezwa hapa kwa sababu ya covid.
Team inatakiwa icheze jihad ionyeshe njaa hadi team zinuine ziogope...speed yetu ipo chini nahofia sana tukipangiwa na team zinazokimbiza watatudhalilisha..Ilikua tumeshakipata tulichokua tunakitafuta
Ulitaka timu ichezeje?
Hawakuwa sawa Ila je, wameshindwa au wameshinda mechi? we ni mzima kweli?Naam nakukubalia kabisa Simba leo awakua sawa japo ushindi umepatikana.
namungo alishinda huenda team ilikuwa mbovu lkn sasa hivi imesajili, hata yanga ilikuwa mbovu lkn imesajili,
kipindi kili match zote zilichezwa hapa kwa sababu ya covid.
Hata itokee bahati mbaya tukatolewa usiku wa leo! Bado tupo tupo sana tu Kimataifa msimu huu.
Kiwango chako ndipo kilipoishia hapo. Vipi meza mmeipindua kwa waarabu Sudan?huna unacho jua bosi ushindi wa simba 4β1 kwa al hilal ilikuwa ufunguzi wa simba super cup
kiwango changu utakiona tarehe 23 hasira zinaishia hapoKiwango chako ndipo kilipoishia hapo. Vipi meza mmeipindua kwa waarabu Sudan?
Hapo ndipo uwezo wako ulipoishia. Usisahau kuwapokea wageni wetu watakapokuja kucheza mechi za wakubwakiwango changu utakiona tarehe 23 hasira zinaishia hapo