Kwanini mkuu[emoji16]Mpaka sasa naweza kusema uwezo wa Inonga sio wa kubahatisha.
Sijajua, ila mkude na lwanga wote ni holding wanaocheza dimba la nyuma.Sasa ulitaka nani aanze badala ya Lwanga, Mzamiru au?
Hao holding midfilders kwangu naona bora wabaki, hawa jamaa ni wazuri sana kwa counter attack, muhimu abaki mtu mmoja chini kuwasaidia mabeki.Tuna holding midfielder wawili, ngumu sana kushambulia au kutengeneza final ball, ila inakuwa ngumu kupata goli
Ngoja ukaone uwezo wao vizuri kule South.Yaani hawa jamaa ata kupiga pass ni matatizo
Uto bwana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja ukaone uwezo wao vizuri kule South.