FT: Simba 1-0 Orlando Pirates | CAF CC quarter final | Benjamin Mkapa Stadium

FT: Simba 1-0 Orlando Pirates | CAF CC quarter final | Benjamin Mkapa Stadium

36'
Simba SC Wanashambulia & Sakho Alichezewa Mpira Na Kukosa Maamuzi Ya Kufanya
 
Ngoja tuone kipindi cha pili labda yatatokea yale ya USGN
 
kuna wachezaji leo wanapata tabu ila tupate goli kwanza halafu huo udambwidambwi uje hivi hapa angekuwepo na Konde boy ingekuwaje dah
 
Sijajua kabla ya mechi vile vikao vya viongozi na wachezaji huwa wanajadili nini

Kwasababu mechi muhimu kama hii bado unaona wachezaji wanacheza kwa show off. Mchezaji akipata mpira anataka acheze na jukwaa sekunde kadhaa ndio aangalie atoe pasi au afanyaje

Mi nilitegemea vile vikao vitakuwa na kazi ya kukemea huu uozo lakini imekuwa tofauti

Nilisema simba haijaandaliwa kwa mfumo wa knock out. Hakuna unity kwenye team . Sako anaingia na mpira hadi 18 huku wachezaji wenzie wapo positon nzuri lakini anataka kuforce ashinde yeye . Ndio maana tulisema huu ndio mwisho wenu
 
Morrison kaamua kucheza na jukwaa, ni kama vile mwanamke anaetaka kumuonyesha Ex wake kwanini alimuacha.

Anatakiwa aonywe.
 
Back
Top Bottom