KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
Full-time, 1 Apr 23Jana alikula chuma 3. Kimya leo yalivyo hayana Akili et yanashangilia Draw.
Raja CA
3

Simba
1
Full-time, 18 Feb 23

Simba
0
Raja CA
3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Full-time, 1 Apr 23Jana alikula chuma 3. Kimya leo yalivyo hayana Akili et yanashangilia Draw.
kabisa kabisaSimba ndio wakulaumiwa....😂😂😂😂
Full-time, 1 Apr 23Jana alikula chuma 3. Kimya leo yalivyo hayana Akili et yanashangilia Draw.
Tuliza kibwambwa.Full-time, 1 Apr 23
Raja CA
3

Simba
1
Full-time, 18 Feb 23

Simba
0
Raja CA
3
huku point mzee ndo mpango mzima hilo ball sio ishu ukiweza vyote fanya ila kama huwezi tafuta pointYanga Jana kapigwa, ila Ball alicheza.
Mimi naongolea matokeo ya leo sio vitu vya mbeleWe unategemea utashinda kwa Al Ahly?
Miquisone waarabu sijui hata wamemfanya kitu Gani.Kocha mwenye akili timamu hawezi kumuingiza miqquisone ili ampe matokeo.
Huyo jamaa ashakuwa utopolo.
Taabu Sana.From SIMBA ya mipango, hadi SIMBA butua...
Champion league
Si ndogo. Imagine akiamua wachezaji wote wazee waondoke itakuaje. Hatapigwa fitna kweli?yale malengo ya kufika nusu kwa staili hii cjui ila kocha mpya anayo kazi kubwa sana ya kufanya
Kwa hiyo wabovu Simba walikuwa wanawacheka wabovu wenzao Yanga 🤣🤣🤣🤣🤣Leo 25/11/2023 katika dimba la Bnjamini Mkapa Dar es Salaam unatarajiwa kuchezwa mchezo wa kwanza wa Kundi B kati ya Simba SC ya Tanzania dhidi ya Asec Mimosa ya Ivory Coast.
Mechi hii itaanza majira ya saa 10 kamili jioni.
Upi mtazamo wako kuhusu mechi hii?
Dakika ya 44 gooooal Saidoo. Simba 1 - 0 Asec
kabisa ukweli usemwe simba pana shida sehemu. Na alaumiwe aliyemtoa mgunda bora alipopewa team angebakia nayo angeifikisha mbali sana shida hatuamini vya kwetu.
Wathamehe thu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Point 3 my foot[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2212][emoji2212][emoji2212]!