Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,194
- 10,711
We Shadeeya umepigaje hapo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Wazoefu kwiiiio. [emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We Shadeeya umepigaje hapo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Wazoefu kwiiiio. [emoji1787][emoji1787]
Naunga mkono hoja 👍Ukiondo mishahara, Simba haina tofauti na mtibwa sukari.
Simba sijui walevi? Mpira gani huu?Nahisi mechi ijayo uwanjani wahudhuriaji watakuwa wachezaji na viongozi tu timu inazidi kutuaminisha kuwa ni mbovu.[emoji706]
Mashabiki wana kila sababu ya kutojiamini na timu yao.Nahisi mechi ijayo uwanjani wahudhuriaji watakuwa wachezaji na viongozi tu timu inazidi kutuaminisha kuwa ni mbovu.[emoji706]
Kocha anaweza kughairi kuchukua kazi.Huyo kocha mpya ana kazi aisee kwa Wachezaji hao mbona kazi ni Ngumu bado
Mbona kaccheza vizuri.Anatakiwa aongezewe mazoezi.ila tatizo la simba limekua kwenye mbinu sio ubora wa mchezaji mmoja mmoja.Timu imecheza vile vile dakika zote 90 kitu ambacho hakikua sawa.Kocha mwenye akili timamu hawezi kumuingiza miqquisone ili ampe matokeo.
Huyo jamaa ashakuwa utopolo.
Bado hawajasemaDuh!!
Sikatai ndugu. Ninachopinga ni shabiki kusema eti Kwakuwa fulani hakucheza.Boss, Kuna watu wameifuatilia Simba miaka na miaka, wanajua timu ikiwa katka ubora huwa ikifungwa hawasemi timu ni mbovu.
Mashabiki wa aina hii wanaposema Kikosi hakipo sawa inamaana wameona hakipo sawa sababu wanalinganisha na misimu iliyotangulia wakati timu inacheza vizuri.
Kumbe alikuwa anajitahidi sana na hii timu.ROBERTINO alishasema hamna wachezaji hapo.
tena vizuri kabisa ata kipa muarabu kadaka vizuriMbona kaccheza vizuri.Anatakiwa aongezewe mazoezi.ila tatizo la simba limekua kwenye mbinu sio ubora wa mchezaji mmoja mmoja.Timu imecheza vile vile dakika zote 90 kitu ambacho hakikua sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hii timu kocha yeyote duniani mtamlaumu tu.Mbona kaccheza vizuri.Anatakiwa aongezewe mazoezi.ila tatizo la simba limekua kwenye mbinu sio ubora wa mchezaji mmoja mmoja.Timu imecheza vile vile dakika zote 90 kitu ambacho hakikua sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
haiwezi kwa sasa by the way pale ambapon alipoingia kama kocha mngemwcha na team ila kwa sasa mbombo ngafuHata angekuwepo Mgunda. Mindset na Physique ya wachezaji Simba ipo chini sana.
Overhaul ya kikosi inahitajika kwa kiasi kikubwa.
Sidhani kama Simba itaweza kufanya vizuri kwenye kundi lake, labda miujiza itokee
Maamuzi magumu yanahitajika bila kuangalia mtu usoni au shabiki atasemaje.Simba sijui walevi? Mpira gani huu?
Yule ni mzee alafu wilikipedia wanasema ana 28